Muuza Sura
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,985
- 1,352
Diamond msanii mkali na pia ally kiba msanii mkali. ..kuona watu wanashindana kuhusu hili juzi kati nilikuwa natoka mwanza kuja dar nikaamua nicheze ngoma ambazo aidha wameimba wao au wameshirikishwa bila kurudia wimbo. .nilianza na za ally kiba,huwezi amini natoka mwanza mpaka nafika chalinze sijarudia wimbo hata mmoja wa ally kiba na zote kali. .nikaona naweza fika Dar bila kusikiliza ngoma za diamond ikabidi nae nimpe nafasi. ..kuanzia chalinze nikamweka nassib kufika ubungo mataa tu nikawa nimemaliza kumsikiliza sioni wimbo wake mwingine wa kusikiliza