Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Mwenzangu wewe hujui kuchunga mali zako eeh? Huoni mabwabwa wameongezeka kwenye huu uzi siku hizi?
Tunaoelewa wanachotaka inabidi tufungie mali zetu kama hivi...lol

Na kweli maana mimacho imewatokaaaa! Sijui washambeba Viol wangu maana nae kaadimika kweli
 
Last edited by a moderator:
Looh na uzi umgeshafunguliwa zamaani.

Sio uzi bali nyuziiiiiii, yaani yangewatoka km bomba liloondolewa koki, eti tukimuongelea ndomo inawakaba wakati video ya mwana ilivyotoka uzi wao ndio ilikuwa habari for allmost a month mara oooh ya chooni, ptuuuuuu
 
Ni mbaya sana na inaumiza kiukweli ndo wanaume wengi wakiwa na michepuko hutekwa akili bora kumsamehe Mara saba sabini aisee. Yani nionavyo amsamehe na asahau Mungu atazidi kumuongezea Mara dufu wazazi ni Mungu wa pili duniani na wana baraka zao. Ndo maana hadi vitabu vitakatifu vimeandika msamehe na kuwaheshimu ili kuishi maisha marefu.
Amsamehe tu huyu mzee bure aisee.

Hakuna kosa lisilo na msamaha. Ni mara ngapi alimfumania Wema na akamsamehe?
Mbona hata yeye alipoiba dhahabu za mama yake alisamehewa?
Ni vema aambiwe ukweli huyu kijana kuhusu mzazi wake.
Tatizo kazungukwa na wajanja wanaochuma tu pesa zake kwa kumshauri matumizi yasiyo na msingi.
Bila sababu anashauriwa kukodi pikipiki za kumpokea Mwanza na mwishowe unaishia kufunikwa na Juma Nature.
Ova
 
Na kweli maana mimacho imewatokaaaa! Sijui washambeba Viol wangu maana nae kaadimika kweli

Hahahahaaa nimechekaje? Hapana bwana mbona jana tulionana nae sehemu huku jukwaani?
Muulize Diva Beyonce tulikua nae.Ila kapotea kidogo haonekani sana.
 
Last edited by a moderator:
Sio uzi bali nyuziiiiiii, yaani yangewatoka km bomba liloondolewa koki, eti tukimuongelea ndomo inawakaba wakati video ya mwana ilivyotoka uzi wao ndio ilikuwa habari for allmost a month mara oooh ya chooni, ptuuuuuu

Sio mwezi tu, hadi leo kuna bibi mashavu mmoja aliyeungua kwa mkorogo anapenda kuongelea hiyo video utadhani ndio ya kwanza kuiona katika maisha yake.
Naona King alimkosha sana pale ndio maana hamtoki akilini.
 
Hahahahaaa nimechekaje? Hapana bwana mbona jana tulionana nae sehemu huku jukwaani?
Muulize Diva Beyonce tulikua nae.Ila kapotea kidogo haonekani sana.

Hata mi nilimuona Jana loh. Hivi kajala ndo anduje hivi aisee. Yani kavaa high heels wapi.
 
Last edited by a moderator:
Jamani ni masikio yangu au???? Mbona mwimbo wa mondi siufeel masikioni??? Ila video kajitahidi. Inabidi atoe kolabo na davido aisee mana anapotea tu
 
Ngoja tuwasitiri hawa maana ingekua ni Ali kiba wangeshaongea Mpaka basi.

Acha tuwafundishe namna ya kuishi kistaarabu, coz kilichotuunganisha ni suala la burudani.
Uzuri picha nitaendelea kuwa nayo, wakileta upuuzi naiweka.
Ova
 
Hahahahaaa nimechekaje? Hapana bwana mbona jana tulionana nae sehemu huku jukwaani?
Muulize Diva Beyonce tulikua nae.Ila kapotea kidogo haonekani sana.

Kumbeeeee! Ndio maana siku ile kaizer aliniambia yupo kwa nifah!!! Doooh sijui ana liprojekiti wapi huyu mtu.
 
Last edited by a moderator:
Acha tuwafundishe namna ya kuishi kistaarabu, coz kilichotuunganisha ni suala la burudani.
Uzuri picha nitaendelea kuwa nayo, wakileta upuuzi naiweka.
Ova

Tatizo lao ustaarabu zero wanachukulia ushabiki ni uadui mkubwa. Sasa wanavomwambiaga Ali kiba anazaaa zaa hovyo. Wana upuuzi flani hivi wakijishau tu naomba uiweke.
 
Sio mwezi tu, hadi leo kuna bibi mashavu mmoja aliyeungua kwa mkorogo anapenda kuongelea hiyo video utadhani ndio ya kwanza kuiona katika maisha yake.
Naona King alimkosha sana pale ndio maana hamtoki akilini.

Sasa ataachaje kuiongelea? We houni wanaongelea pale pa chooni tu?? Hujiulizi?? Pale fundi ako na taulo tuuuu, weeeeh ataacha nani kuiongelea?? Hapana chezea kabisaaaaa
 
Kumbeeeee! Ndio maana siku ile kaizer aliniambia yupo kwa nifah!!! Doooh sijui ana liprojekiti wapi huyu mtu.

Eeish, hebu acha hizo bwana, unataka kuniuzia kesi?
Ile siku niliona lakini kwakua nilijua sio kweli ndio maana nilikaa kimya.
Wewe uko busy utamuona saa ngapi?
 
Hata mi nilimuona Jana loh. Hivi kajala ndo anduje hivi aisee. Yani kavaa high heels wapi.

We Diva ulikuwa wapi na Viol jana? Alafu na yule bibie muuza uduvi nae kaadimika leo nina mashaka kwakweli
 
Last edited by a moderator:
Jamani ni masikio yangu au???? Mbona mwimbo wa mondi siufeel masikioni??? Ila video kajitahidi. Inabidi atoe kolabo na davido aisee mana anapotea tu

Sio wewe tu, hata mimi kiukweli sijaipenda nikiweka ushabiki pembeni.
Bora Mr. Flavour kafanya poa kama kawaida yake....ila mzee wa kuharibu kaharibu kama kawaida yake.
Sauti imemkauka haisikiki kabisa, idea ya video kama moyo wangu mixer na my number one zile ngololo.
Pale ni quality ya video tu ndiyo iliyombeba.
 
Jamani ni masikio yangu au???? Mbona mwimbo wa mondi siufeel masikioni??? Ila video kajitahidi. Inabidi atoe kolabo na davido aisee mana anapotea tu

Mie sijaiona wala kuisikia naemagine tu, teh teh teh, acha waendelee kutafuta mchawi
 
Jamani ni masikio yangu au???? Mbona mwimbo wa mondi siufeel masikioni??? Ila video kajitahidi. Inabidi atoe kolabo na davido aisee mana anapotea tu

Tulia sehem usikilize tena utauelewa tu utajikuta mwenyewe unachezea Sankolo Sankoloo. We ni mmoja kati ya watu 10 ambao hujaelewa according to my statistics
 
Tatizo lao ustaarabu zero wanachukulia ushabiki ni uadui mkubwa. Sasa wanavomwambiaga Ali kiba anazaaa zaa hovyo. Wana upuuzi flani hivi wakijishau tu naomba uiweke.

Hv yule mtu wao angekuwa anadate walotayari kumzalia nae si angekuwa na shule sasa!!! If....... teh teh teh
 
Mi shabiki wa kiba wa ukweli ila naomba kuwa muwazi kwa hili: Ally Kiba anazingua angekuwa anajitmbua angekuwa mbali sanaaaaaa...zaidi ya domo Diamond kipesa na kila kitu kwa kifupi angekuwa kama PSquare maana Mfalme R kelly alishamfungulia njia ambayo ilikuwa kuiendeleza ktk One8 Wasanii wa Africa kufanya kazi na R kelly, lakini Ally kiba kabweteka na sifa za mashabiki wa nyumba badala ya kuvuka maboda ya Africa anakalia kusubili Zari lingine kama litajirudia, Menejiment yako haifikirii wala kumshauri vizuri, Alie karibu nae amfikishie ujumbe huu amwambie asipoamka na kujipanga upya ye na menejiment yake wataishia hapa hapa nyumbani wakati domo asie na lolote mbele ya kiba akipiga mkwanja mnene nakuzidi kuvuka maboda kila kukicha.
 
Back
Top Bottom