Alex Massawe kakamatwa!

Alex Massawe kakamatwa!

ni kweli kwamba amekamatwa na hata kamishana wa makosa ya jinai wamesema tayari wanafanya utaratibu wa kumsafirisha ili kuja kusomewa makosa yake. kwangu mimi hawa matajiri wafanya biashara ambao wanapata hela zao kwa njia za utata sijui kwann nchi imeendelea kuwalea mpaka wa leo. mbaya zaid wachaga wengi hii kwao ni kawaida yaani watu wana hela ambazo hazijulikani uhakika wake na zimepatikana vipi kumbe wizi tu.


shika adab yako we kijana....
 
Umeongea ukweli mtupu mzee. Hawa jamaa ni wezi wa kila namna. Ole wenu na sasa hivi wanataka kuchukua madaraka ya hii nnchi.

fanya kaz kijana acha wivu wa kiki...kila tajiri lazima ana untold story...tofaut ni kwamb alex massawe yey amewah kukamatwa na kushtakiwa thats y umejua alichokifanya...Nafkir unaijua vizur concept ya risk-return trade off... eeeh!!
 
hata ukijaribu kuangalia mwanae kilichomfanya aache mpira katika kile kiwango chake cha hali ya juu ni haya maswala ya wizi tu hivyo hiyo ni chain ndefu sana ya wizi kwenye hyo familia.Hata hapa ARUSHA jamaa anayo hotel kubwa tu inaitwa AM hotel nadhan waliopo Arusha ni mashahid wa hili.
 
Alex Massawe anakula bata majuu kuna video clip niliwahi kuiona anavyotumbua pesa!ccm hawawezi mkamata hata kikwete alishindwa akamuachia huru
 
Alex Massawe anakula bata majuu kuna video clip niliwahi kuiona anavyotumbua pesa!ccm hawawezi mkamata hata kikwete alishindwa akamuachia huru
Mdogo wake na massawe naye si kidogo!! Nimefanya kazi moja kwenye nyumba yao iliyopo barabara ya kibosho kirim,hapo mwanzoni,eneo la karibu na shanty town,huyo naye ni mwizi na alikuwa kiongozi Uvccm pamoja na Malisa.
 
ni kweli kwamba amekamatwa na hata kamishana wa makosa ya jinai wamesema tayari wanafanya utaratibu wa kumsafirisha ili kuja kusomewa makosa yake. kwangu mimi hawa matajiri wafanya biashara ambao wanapata hela zao kwa njia za utata sijui kwann nchi imeendelea kuwalea mpaka wa leo. mbaya zaid wachaga wengi hii kwao ni kawaida yaani watu wana hela ambazo hazijulikani uhakika wake na zimepatikana vipi kumbe wizi tu.

na msofe naye ni mchaga!!?
ama ndio mwisho wako wa kufikiri?
 
Kwanza nianze kuhakikisha hii habari kuwa ni kweli hata East Africa Radio wameirusha mda si mrefu. Alex Massawe anakabiliwa na tuhuma za mauwaji ya mfanyabiashara ambayo pia Papaa Msofe anahusika. Habari zilizopo ni kuwa mfanyabiashara aliyeuliwa alikopa fedha (inasemekana ni kama mil 200, ila sina uhakika na hii amount) kutoka kwa ALex massawe na akaweka bond nyumba yake iliyopo maeneo ya magomeni. Akamkabidhi Alex masawe hati ya nyumba ikiwa ni sehemu ya mkataba wa mkopo huo. Mfanyabiashara alipotaka kurizudisha zile fedha Alex massawe akawa anapiga chenga hataki kuzipokea kwa madhumuni ya kuupitisha muda riba iwe kubwa jamaa ashindwe kulipa halafu ajihalalishie kuichukua nyumba. Marehemu akawa mjanja akaenda kuiwakilisha zile fedha kwa mwanasheria aliyewafungia mkataba wa mkopo. Baada ya Alex massawe kuona anazidiwa ujanja ndo akaanza kutumia mabavu na kumuuzia ile nyumba Papaa msofe ilihali akijua hana umiliki halali. Baada ya mfanyabiashara kuuawawa, papaa msofe ndo akawa anaighasi familia ya marehemu kuwa hiyo nyumba kashauziwa hivyo watoke na atakuja kuwatoa kwa nguvu. Mke wa marehemu akaenda moja kwa moja kwa Said Mwema na kuilezea habari nzima nzima tangu makubaliano ya mkopo na kuuliwa kwa mumewe na vitisho anavyopata toka kwa wauwaji wa mumewe. Kifupi hili ndo saga lenyewe na kesi ya Papa msofe ilikuwa haiwezi kwenda popote hadi alex massawe atapopatikana kwa sababu ni mtuhumiwa mkuu pia kwenye kesi hii.
Na makongoro aanaingiaje kwenye kesi?
 
asante mkuu Kwa kufatilia inshu km hizi,wakati mwingine ingia mpaka miamala ya escrow aisee
 
fanya kaz kijana acha wivu wa kiki...kila tajiri lazima ana untold story...tofaut ni kwamb alex massawe yey amewah kukamatwa na kushtakiwa thats y umejua alichokifanya...Nafkir unaijua vizur concept ya risk-return trade off... eeeh!!

Mkuu unajibu kwa hisia sana vipi unahusika na huyu jamba.zi?Au na wewe umetumwa kumsafisha mtandaoni.
 
Kwanza nianze kuhakikisha hii habari kuwa ni kweli hata East Africa Radio wameirusha mda si mrefu. Alex Massawe anakabiliwa na tuhuma za mauwaji ya mfanyabiashara ambayo pia Papaa Msofe anahusika. Habari zilizopo ni kuwa mfanyabiashara aliyeuliwa alikopa fedha (inasemekana ni kama mil 200, ila sina uhakika na hii amount) kutoka kwa ALex massawe na akaweka bond nyumba yake iliyopo maeneo ya magomeni. Akamkabidhi Alex masawe hati ya nyumba ikiwa ni sehemu ya mkataba wa mkopo huo. Mfanyabiashara alipotaka kurizudisha zile fedha Alex massawe akawa anapiga chenga hataki kuzipokea kwa madhumuni ya kuupitisha muda riba iwe kubwa jamaa ashindwe kulipa halafu ajihalalishie kuichukua nyumba. Marehemu akawa mjanja akaenda kuiwakilisha zile fedha kwa mwanasheria aliyewafungia mkataba wa mkopo. Baada ya Alex massawe kuona anazidiwa ujanja ndo akaanza kutumia mabavu na kumuuzia ile nyumba Papaa msofe ilihali akijua hana umiliki halali. Baada ya mfanyabiashara kuuawawa, papaa msofe ndo akawa anaighasi familia ya marehemu kuwa hiyo nyumba kashauziwa hivyo watoke na atakuja kuwatoa kwa nguvu. Mke wa marehemu akaenda moja kwa moja kwa Said Mwema na kuilezea habari nzima nzima tangu makubaliano ya mkopo na kuuliwa kwa mumewe na vitisho anavyopata toka kwa wauwaji wa mumewe. Kifupi hili ndo saga lenyewe na kesi ya Papa msofe ilikuwa haiwezi kwenda popote hadi alex massawe atapopatikana kwa sababu ni mtuhumiwa mkuu pia kwenye kesi hii.

Mkuu kwanza tushukuru kama Alex amekamatwa. Pili marehemu alichukua mkopo wa 75mil. Riba ikakua mpaka kufika around 200 mil. Na jamaa akawa anahaha kukomboa nyumba yake. Mke wake akafungua kesi kuwa hajui kuhusu mkopo huo na hakuna sehemu aliyosaini. Ndio shida ikaanza ya kutishana wakitaka pesa yao. Akina Massawe na Papaa Msofe wakauziana hiyo nyumba kwa ubabe ikawa Massawe amechomoka kiaina msala akamwachia Papaa Msofe. Ndio mambo yakaenda mpaka kifo kilipomkuta mdaiwa
 
ggg.JPG

KESI ya mauaji inayomkabili mfanyabiashara Marijan Abubakar ‘Papa Msofe' na mwenzake, Makongoro Joseph, imetajwa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam na kuahirishwa hadi Oktoba 13 mwaka huu kutokana na uchunguzi kutokamilika.
Msofe na Makongoro wanakabiliwa na kesi ya mauaji ya Onesphory Kitoli. Kesi hiyo imetajwa chini ya Hakimu Mkazi Hellen Riwa
Mkuu kwanza tushukuru kama Alex amekamatwa. Pili marehemu alichukua mkopo wa 75mil. Riba ikakua mpaka kufika around 200 mil. Na jamaa akawa anahaha kukomboa nyumba yake. Mke wake akafungua kesi kuwa hajui kuhusu mkopo huo na hakuna sehemu aliyosaini.

Mkuu hawa watu ni wazulumati na wauaji kabisa kwani hela waliyomkopesha Kibosho mwenzake Alex ni milioni 30 tu na riba ikapanda hadi 200m
Breaking: Papaa Msofe atuhumiwa kwa mauaji – Bongo5.com
Papa-Msofe-wa-mbele-upande-wa-kulia.jpg
 
hata ukijaribu kuangalia mwanae kilichomfanya aache mpira katika kile kiwango chake cha hali ya juu ni haya maswala ya wizi tu hivyo hiyo ni chain ndefu sana ya wizi kwenye hyo familia.Hata hapa ARUSHA jamaa anayo hotel kubwa tu inaitwa AM hotel nadhan waliopo Arusha ni mashahid wa hili.
Christopher Alex Massawe sio mtoto wa Kidumbuyo (Alex Massawe)
ila ni mtoto wa Dominic Massawe wa Dodoma, alizaliwa Dodoma kusomea na kuanza mpira Dodoma kabla ya Simba
 
Mkuu kwanza tushukuru kama Alex amekamatwa. Pili marehemu alichukua mkopo wa 75mil. Riba ikakua mpaka kufika around 200 mil. Na jamaa akawa anahaha kukomboa nyumba yake. Mke wake akafungua kesi kuwa hajui kuhusu mkopo huo na hakuna sehemu aliyosaini. Ndio shida ikaanza ya kutishana wakitaka pesa yao. Akina Massawe na Papaa Msofe wakauziana hiyo nyumba kwa ubabe ikawa Massawe amechomoka kiaina msala akamwachia Papaa Msofe. Ndio mambo yakaenda mpaka kifo kilipomkuta mdaiwa

Massawe ndio alimpa hela msofe tetesi ni kua msofe ndie alisaini mkataba wa mkopo pia ndio alikua anamtumia onest ms za vitisho ndio mana imekula kwake,pia marehemu alishauza vi2 vyake vyote mererani hiyo nyumba ndio ki2 alichukua amebakiza,pia hata hiyo 75m unayosema asingeweza kurudisha mana hakua nayo,wa2 wengi wanaochukua hela z riba huwa maji yako shingoni so kurudisha inakua ngumu ndio mana wazee wa fursa huwa wanawameza mazima
 
Back
Top Bottom