Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 13,052
- 18,012
Ni kweli kuwa aliwahi kukoswakoswa kupigwa pingu Dubai,ila alifanikiwa kuepuka mtego na hatimaye kurudi sauzi!! Interpol waliboronga pale emirate,wakamwachia mwanya bila kujua,na walipokuja kujua kosa lao jamaa alishatambaa zake kitamboooo.Jamaa yupo sauz na dubai ndio makazi yke kuna video yake nayo ila kutuma nashindwa