Alama ya nyota na mwezi misikitini humaanisha nini?

Alama ya nyota na mwezi misikitini humaanisha nini?

Kumbe uislam umechakachuliwa namna hii. Sasa wale wanaoshupaa kila siku hapa kuwa uislam upo vile vile kama alivyouleta mtume ina maana hii story yako hawaijui au?

Na hii argument yako inamaanisha allah kashindwa kuulinda uislam wake usiongezewe alama za kituruki..hahahah
mkuu hapa umewaza kwa kutumia nyeti
 
Hawa watu huwa wana uongo uongo fulani hivi amaizing. Kwa nini wanajiografia watumie alama za mwezi na nyota? Adhana haitoshi kuelekeza msikiti ulipo? Hiyo ni ishara ya allah.
Kuwa na akili,adhana sio kila wakati inasomwa,ni baadhi ya wakati,na haizidi dakika 5.Na vile vile alama yoyote unayoiona hats kwenye nyumba ya ibada,mbali ya kuwa ni alama kwa wahusika wa dini hiyo,pia ni kwa ajili ya wasio na dini hiyo.Ili pawe wepesi kwa aliyeelekezwa njia,kama aliambiwa njia unayopita kuna msikiti,kwa mgeni ni wepesi kuelewa alama hii ni ya msikiti,na msikiti wenyewe ndio ule.
 
Naskia wanaabudu mungu mwezi,
Ndo maana hata wakifunga wanaangalia mwezi ndo wanafungua

Ngoja wajuvi watujuze zaidi...
Hata Pasaka kwa wakristo inahesabiwa kwa kuangalia mwezi,kama hujui elewa hiyo.Hivi sasa wakristo wako kwenye mfungo wa kwaresima,kwa kutumia mwezi kuto Israel ndio wanahesabu siku ya pasaka.Kutizama mwezi ni sawa na anayetizama kalenda kwa tarehe,kwa hiyo anayetizama kalenda,anaabudu kalenda?Kwa hiyo wewe watumia kalenda,tukuhesabu unaabudu kalenda.
 
Ifahamike kwamba ipo kalenda ya kiisalam kidesturi ndio ambayo wanaifuata mpka kutimia kwa mwaka lkn kalenda hy hukamilisha mwezi moja kwenda mwezi mwengne mpaka pale mwezi mmoja utakapoindama na utagundua kwamba ifikapo mwezi wa ramadhan huanza kufunga kuanzia cku mwezi utapoindama na kufungua kwa ajili ya siku kuu mwezi utakapoindama, kwahy wameweka hy kama kielezo cha kalenda yao ambayo wanaitumia
 
Ngoja nikuzawadie takabiriiiiii

Lakin kaa ukijua allah ni mungu wa wapagani waliokuwa wanaabudu mwez na jua ndo maana hata mtume wako mudy alianzisha mauaji ili watu wamufate

Wewe endelea kumuabudu allah aisiyekuwa na tofauti na ibilis allah is satan
Mara nyingi jaribu kuficha upumbavu na ujinga ili usijuliksne kama mjinga.Kama hujui bora unyamaze,maelezo yako ni sawa na kusema gari inaendeshwa na shetani,kwa kutojuwa kwako kama gari ina mashine inayoiendesha gari,kwa kupitia dereva.
Qur'an mwanzo mpaka mwisho,ukitaka kuisoma kwanza unamlani shetani,na aya nyingi ndani yake zimekataza wanadamu wasifuate nyao za shetani.Hakuna kitabu duniani kilichompiga vita shetani kama Qur'an,sasa ikiwa kitabu hiki kimempiga vita shetani,halafu useme dini ya kitabu hiki ni ya shetani.Itakuwaje mwenye dini yake ajipige vita mwenyewe.Ndio pale unapoonekana,unayetoa hoja hizo za shetani kuhusika na dini inayompinga,uonekane una mapungufu fulani kichwani.
Twashukuru serekali kupiga vita viroba,yaonyesha wewe ni mtumiaji wa viroba,kwa maana unaona vitu kinyume ya uhalisia.
 
4103820712_cb6440ff56.jpg
mosque-architecture-oriental-half-moon-crescent-sun-mood-dusk-twilight-BWK9PX.jpg
Ni sanamu kama zilivyo sanamu nyingine!
 
alama za waabudu masanamu na mashetani, ukienda hata kwenye maulid kuna bendera zao zina nyota na mwezi mambo ni yale yale mashetwani kama mashetani mengine
 
Hata Pasaka kwa wakristo inahesabiwa kwa kuangalia mwezi,kama hujui elewa hiyo.Hivi sasa wakristo wako kwenye mfungo wa kwaresima,kwa kutumia mwezi kuto Israel ndio wanahesabu siku ya pasaka.Kutizama mwezi ni sawa na anayetizama kalenda kwa tarehe,kwa hiyo anayetizama kalenda,anaabudu kalenda?Kwa hiyo wewe watumia kalenda,tukuhesabu unaabudu kalenda.
Pasaka hamnaga kuangalia mwezi mkuu,siku zinahesabiwa toka mfungo umeanza,hamna kuangalia mwezi umeandama ana haujaandama,
Kwa nini sanamu za mwezi na nyota viwepo msikitini sasa
 
daah kaka umekosea sana kwa kusema dini ya kweli ni ile isiuokua na alama....religion itself is a symbol....hivi unahua maana ya alama? hata kuamini mungu ambaye humuoni pia ni alama, kufumba macho, msalaba, kunyanyua mikono wakat wa kuomba n.k
Think thrice uskurupuke
Ni wapi nimesema dini ya kweli haina alama naomba yaweke rangi maneno hayo.....soma vizuri tena huenda utaelewa
 
Hata Pasaka kwa wakristo inahesabiwa kwa kuangalia mwezi,kama hujui elewa hiyo.Hivi sasa wakristo wako kwenye mfungo wa kwaresima,kwa kutumia mwezi kuto Israel ndio wanahesabu siku ya pasaka.Kutizama mwezi ni sawa na anayetizama kalenda kwa tarehe,kwa hiyo anayetizama kalenda,anaabudu kalenda?Kwa hiyo wewe watumia kalenda,tukuhesabu unaabudu kalenda.
Nikisema ni waongo waongo nyie unasema jina akili. Nadhani wenzangu wameshakuthibitisha uongo wako kuwa hakuna kufuata mwandamo wa mwezi katika sikukuu za Kikristu.
 
Kuwa na akili,adhana sio kila wakati inasomwa,ni baadhi ya wakati,na haizidi dakika 5.Na vile vile alama yoyote unayoiona hats kwenye nyumba ya ibada,mbali ya kuwa ni alama kwa wahusika wa dini hiyo,pia ni kwa ajili ya wasio na dini hiyo.Ili pawe wepesi kwa aliyeelekezwa njia,kama aliambiwa njia unayopita kuna msikiti,kwa mgeni ni wepesi kuelewa alama hii ni ya msikiti,na msikiti wenyewe ndio ule.
Acha porojo mungu wenu ni ibilisi endeleen kuabudu jua hati siku ya mwisho
 
Nikisema ni waongo waongo nyie unasema jina akili. Nadhani wenzangu wameshakuthibitisha uongo wako kuwa hakuna kufuata mwandamo wa mwezi katika sikukuu za Kikristu.
Wewe utakuwa huelewi ukristo,pasaka imetokana na sikukuu ya kiyahud,ya kuwachiwa kutika utumwani Misri.Wayahudi pia wanasherehekea pasaka(passover)yaani kupita katika matatizo.Wayahudi wanahesabu mzunguko wa mwezi mpaka siku ya 14,siku ya 15 ndio pasaka.Na wakristo wanasheherekea tarehe hizo hizo za pasaka kwa kusubiri mwezi wa mzunguko wa siku ya 14,ya 15 ni pasaka.Wakristo wanashereka kW kusulubiwa na kutundikw msalabani,wanayemiamini,Yesu.Japo kunatumbika njia za kitabiri kikalenda,lakini miaka yote pasaka haiangukii katika tarehe zinazofanana.Hapo ndio ujuwe kunatumika mzunguko wa fullmoon.
 
Acha porojo mungu wenu ni ibilisi endeleen kuabudu jua hati siku ya mwisho
Yaonyesha wewe ndio unaabudu iblisi,haiwezekani ujuwe kama iblisi anaabudiwa.Kwa hiyo endelea na ibada zako za kiiblisi na kuabudu jua.Ukiona mtu aisifia ngoma ujuwe kaicheza,wahenga walisema.
 
Yaonyesha wewe ndio unaabudu iblisi,haiwezekani ujuwe kama iblisi anaabudiwa.Kwa hiyo endelea na ibada zako za kiiblisi na kuabudu jua.Ukiona mtu aisifia ngoma ujuwe kaicheza,wahenga walisema.
Naona unajitoa akili mchana kweupe kasali na majin huko kijana wa mudy mubakaji na mlawiti aliyeolewa na limama
 
Naona unajitoa akili mchana kweupe kasali na majin huko kijana wa mudy mubakaji na mlawiti aliyeolewa na limama
Unazidi kujitangazia soko lako la mchezo mchafu unaocheza.Tangaza soko utapata wateja wa kukushughulikia.Biashara matangazo.
 
Yaan ukisikia watu wanaoamini pasipo kureson n hawa jamaaa!!... Nimepitia post zao nyingi hamna anaeelewa...nyota na mwezi kwenye misikiti yao inamaanisha nn ...wengine Mara ottoman empire wengine Mara mapambo.... Sasa kuna tofauti gan na wanao abudu mungu jua....misikiti karibia yote inahizo alama Leo MTU anakurupuka anasema hazimaanishi chochote kweli!!? Tena yuko seriously !!!...Mwingine anasema mapambo bas yangekua ya aina mbalimbali....


Sasa mtu wa hivi asiyeijua dini yake vizuri ,hajui anachokiabudu kama n Allah au Mungu au Nyota na mwezi....MTU wa ivi umwambie akiua anaenda pepon ataachaje kuvaa Bomu!!..kwan anaamin kwa kuambiwa hajui anaamin nn!!...
Sorry kwa waliokwazika mawazo yangu tu .....hasa nikifocus ugaidi haya ndio ninayoyaona
 
Yaan ukisikia watu wanaoamini pasipo kureson n hawa jamaaa!!... Nimepitia post zao nyingi hamna anaeelewa...nyota na mwezi kwenye misikiti yao inamaanisha nn ...wengine Mara ottoman empire wengine Mara mapambo.... Sasa kuna tofauti gan na wanao abudu mungu jua....misikiti karibia yote inahizo alama Leo MTU anakurupuka anasema hazimaanishi chochote kweli!!? Tena yuko seriously !!!...Mwingine anasema mapambo bas yangekua ya aina mbalimbali....


Sasa mtu wa hivi asiyeijua dini yake vizuri ,hajui anachokiabudu kama n Allah au Mungu au Nyota na mwezi....MTU wa ivi umwambie akiua anaenda pepon ataachaje kuvaa Bomu!!..kwan anaamin kwa kuambiwa hajui anaamin nn!!...
Sorry kwa waliokwazika mawazo yangu tu .....hasa nikifocus ugaidi haya ndio ninayoyaona
Mtusaidie basi kwenye krani,ilipo elekeza waislamu waabudu Mungu Mwezi! So mnajua sana krani kuliko Waislamu wenyewe,kama sio kufata maandiko ya wayahudi wapinga uislamu
 
Back
Top Bottom