BRUCE LEE
JF-Expert Member
- Dec 11, 2010
- 2,096
- 1,337
Una haraka ya nini kuuliza kuhusu mimi.Watakapo amua kuwasiliana na wewe,watawasiliana na wewe kwa njia zao,hapo sasa ndio utaelewa,wanawasiliana vipi.Ni kama wewe,ulivyoamua kuwasiliana na mimi hapa jf,na wao wanao njia zao pia.
hizo ni habari za kufikirika hata gwajima anawaambiaga waumini wake kua mungu kasema nae hivi na vile na mwisho wa siku anawapiga mabilioni......huo ujinga wa kuamini visivyokuwepo nimewaachia nyinyi...