Hawataki Kwa sababu ya jina lake wala sio kingineEnd justifies the begining. Wengine walifeli hadi mpaka hapo okelo alipo oongoza mapinduzi na yakafanikiwa huku hao unaosema maplanner wakiwa wamejificha gest house tanganyika kama panya wajifichavyo mafichoni.
All in all okello apewe heshima yake katika mapinduzi ya zenji bila yeye yaaingetokea.
Kwanini hamtaki kumpa heshima yake badala yake wanapewa heshima waliojificha mashimoni wakati mwanaume akiongoza mapambano. ?
View attachment 2478861