AKA & Diamond Platinumz - Make Me Sing [VIDEO]

AKA & Diamond Platinumz - Make Me Sing [VIDEO]

Sio wimbo wake ni wa pamoja yaani aka anauweka kwenye album yake halikadhalika diamond pia acha ushabiki mandazi
sasa wimbo ukiwa wa pamoja kipi kinabadika ? kwamba ngoma ikiwa kali yeyote kwenye wimbo hasifiwi kisa sio wake peke yake au! Haha haya sifia basi wimbo bila kumtaja msanii yeyote kwenye huo wimbo na ushamba wako (as if huo wimbo umejiimba)
 
Wadau eeh, Kidingi nahamia team kiba kwa muda maana huyu Diamond anaweza akaniletea kitambi kama cha peter msechu maana kila Siku mashati yanazidi kunibana, si kwa mabomu haya kila siku kizuri afanye yeye tu hahahaha

pwilo Nifah K 4 LIFE tafadhali sana mnipokee hukoo, nakuja kwa muda...
 
Diamond anamzidi kiba hela tu zaidi ya hapo domond si lolote mbele ya kiba king
Platnumz kamzidi KIBAkuli kuimba, kucheza, hela, umaarufu( ndio jamaa yako internationally bado new comer) ....to mention just a few, hata ivo kwenye hii thread hiki kitimtim kinaingiaje???
 
Sina uhakika kama Diamond amesema maneno ya kutaka kuteka soko la Marekani kimuziki, kama mpango wake ndo huo hapo kwa 90% atafeli maana tatizo kubwa la mziki wa afrika kushindwa kupenetrate ulaya na america ni sababu kwa africa muziki ni bure(free) wakati marekani na ulaya mziki unauzwa yani predominantly haupatikani bure P Square na ukubwa wao wote linapokuja soko la ulaya na marekani ni ma underground wa kutupwa tatizo ni kua muziki wa afrika commercialization ni ngumu sana sababu tumezoea vitu vya bure mfano mkito watu wachache sana wananunuaga mziki kwa kutumia hela wengi hitumia MB's za mitandao sijui nani anaweza nunua hata mimi album za miziki nazishushaga kwenye torrents....
 
sijapata ona video mbaya kama hii,imedhihirisha utanipenda?,kwish habari yake!
 
Dah yaani mkuu mm mwnyw nimeshangaa, wameiba idea ya video ya snitch ya Obbi Trice ft. Akon,
Nyimbo mbaaaaaaaaya
Video mbaaaaaaaaaya
 
Video ya kwanza ya Diamond niliyoishia katikati kuiangalia, haijaniimpress kbs ukilinganisha na nyimbo zake za nyuma...
Sijui hata ni nini hiki.... Yaani haujaniridhisha Bora utanipenda!
 
Katika kitu chochote tunavutiwa na ule utofauti.... nyimbo za magari wameonyesha wengi sana tunataka new taste.... mnapokuwa na timu jaribu pia kuangalia kitu kilicho bora... dimond napenda kazi zake but video ya kiba ilikuw na utofauti ulionivutia sana
huo utofauti unaouzungumzia ndo utakaoifanya video yake iwekwe KWAPANI..!
#tatatara
 
Sina uhakika kama Diamond amesema maneno ya kutaka kuteka soko la Marekani kimuziki, kama mpango wake ndo huo hapo kwa 90% atafeli

Mkuu, labda ni lugha tu niliyotumia kwa ufupi anataka kupenentrate kwenye soko la America.. Na sioni ubaya wa kujaribu kufanya hivyo!!! Hata kama P Square walishindwa hii haina maana kuwa ni mwiko kwa wengine kujaribu au daima na milele itakuwa hivyo ni kheri ajaribu hata akishindwa lakini angalau amejaribu hiyo ndio mentality chanya Mkuu..!!
 
Back
Top Bottom