Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,415
- 12,622
Jeshi la mtu mmoja
🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂
Audio ya Lupela na ya Make me Sing nitachagua Lupela, video zote siyo nzuri kivile!
Jeshi la mtu mmoja
🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂
Sawa Mkuu, huo ni mtazamo wako na nauheshimu lakini naamini watanzania na afrika wengi hawatakubaliana na mtazamo wako, subiria just two days utanielewa..Mkuu tafuta comment yangu kwenye video ya Lupela, sikuisifu kivile ila nikilinganisha na kitu walichokifanya kina Diamond sijaona uhalisia kabisa.
nawe usitake kujifanya ndo unaishi sayari ya mars,inamaana UTANIPENDA hujaisikia/hujaiona?Sasa hivi anaona kutoa wa kwake ni sheeda hawezi tena amebaki kuimba pamoja
hapo tu ndo napokukubali Nifah...Thubutuuuuuu mondi mpaka anaacha mziki hawezi kufika level ya uimbaji wa Kiba.
We endeleza ushabiki mandazOoohh nilisahau ile ‘Je Utanipenda’ nayo kumbe kamshirikisha Tekno!! Asante kwa kutukimbusha..
wewe ni muongo unayeidanganya nafsi yako!Video ya kwanza ya Diamond niliyoishia katikati kuiangalia, haijaniimpress kbs ukilinganisha na nyimbo zake za nyuma...
Bro, calm down usipanic kisa mtu katofautiana na wewe mtazamo!! Mungu ametupa heshima sana kila mtu kumpa ubongo wake binafsi..We endeleza ushabiki mandaz
hakuna team hapa wimbo m bayaaaaaaaaaaaaaaaaKwenye hizi team tutashuhudia mengi.
Kwa mziki UPI wewe au huu huu wa kuimba pamoja na aka ndio upenye hadi marekani? Hebu acha dharau aiseeMkuu, labda ni lugha tu niliyotumia kwa ufupi anataka kupenentrate kwenye soko la America.. Na sioni ubaya wa kujaribu kufanya hivyo!!! Hata kama P Square walishindwa hii haina maana kuwa ni mwiko kwa wengine kujaribu au daima na milele itakuwa hivyo ni kheri ajaribu hata akishindwa lakini angalau amejaribu hiyo ndio mentality chanya Mkuu..!!
ulitegemea mbwembwe gani zaidi mkuu!ebu niambie wakati unaucheck huu wimbo ulikuwa katika hali gani?isijekuwa ndo ulitoka kupiga moja moto moja baridi,ukaishia kuona maruweruwe tuNtaitwa Snitch ila kwenye ukweli tunasema jamani alafu diamond kaonekana kama underground masikini yaani mbwembwe zake sijaziona mle
Team Ali Kimba ww u shuld keep kimyaaaaaa