AKA & Diamond Platinumz - Make Me Sing [VIDEO]

AKA & Diamond Platinumz - Make Me Sing [VIDEO]

kila siku ziendazo kwa Mungu,huwa nazidi kupata sababu lukuki za kusema kwa kinywa kipana kuwa dogo chibu ana kipaji cha hatari sana...hakika hii ngoma tamu tn kwa upande wangu audio ndo imenivutia zaidi,ila kwa upande wa video ni nzuri bt za hivi zipo nyingi mno!all in all ngoma itabamba sana coz hizo style ndo zinazopendwa kwa sasa duniani...
 
Jamani huu ushabiki utawafanya muwe wendawazimu!
Hii video ni mbovu,wamekosa idea mpya.
Video za kumwaga pesa sio kitu kinachoweza kukushawishi uangalie video kwa jicho la 3 au hata kuirudia mara ya pili.

Diamond alipotoa video na wimbo wa utanipenda nilimsifia,ila kwa video na wimbo huu ni hatua moja nyuma.
Amekurupuka,hata mwenzie kashindwa kufanya poa kama alivyofanya kwenye Don't Bother ya Joh Makini.
#Maoni yangu
Period
Video inatengenezwa kulingana na maudhui ya nyimbo yenyewe!! Video ya utanipenda ingawa iko kwenye quality ya juu sana lakini ilikuwa ni lazima kuwe na simplicity ya kimandhari katika scenes nyingi ili kuakisi uhalisia wa kinachoimbwa!

Video ya Make Me Sing maudhui yake ni ya kusifia mahaba na maisha ya hali ya juu so lazima video iakisi kitu hicho.!!

Suala lingine video zinapotengenezwa sio lazima kila kinachotajwa basi kiwe represented directly, maana yangu ni kwamba mfano kwenye hii video kuna bank robery but hakuna mashahiri yanayozungumzia robery!! Nimesema hapo awali wimbo unasifia mapenzi na maisha ya hali ya juu so bank robery inarepresent hiyo (kiu ya maisha ghali)!!

Kwa wanaoelewa hizi mambo wataelewa!!!

Once again salute Monde bin laden.!!
 
Wewe kima sio kila nisemacho unarukia juu kwa juu.
Ngoja nikupe mwanga kidogo tafuta thread nilizowahi kuanzisha kisha ndio uje kusema huu upuuzi wako hapa.
Mimi sio nyumbu niliyepofushwa na mahaba kama wewe.
!! Bahati nzuri nimelelewa vyema sijui matusi, la sivyo tungetukanana mpaka asubuhi.. Hii ni platform huru kama hutaki watu wajibu unachocomment basi usipost chochote kaa kimya but nitaendelea kujibu any comment of yours ninapoona kuna ulazima!! We endelea na mitusi yako..
 
Hii ngoma haiwezi kua maarufu hapa bongo coz ya aina yenyewe ya wimbo sio wa kuchangamka,(but video sio mbaya)still kwangu mimi 'NaNa' na 'utanipenda' ni bora zaidi ya huu,by the way km nilivyosema hii ngomA inaweza kua maarufu kwa mataifa ya nje ya east Africa.frankly speaking kwa mara ya kwanza nasema diamond hajanikamata kwa hii ngoma......but haijabadili ubig fan wangu kwa chibu.....ni mtazamo wangu.
 
Jamani huu ushabiki utawafanya muwe wendawazimu!
Hii video ni mbovu,wamekosa idea mpya.
Video za kumwaga pesa sio kitu kinachoweza kukushawishi uangalie video kwa jicho la 3 au hata kuirudia mara ya pili.

Diamond alipotoa video na wimbo wa utanipenda nilimsifia,ila kwa video na wimbo huu ni hatua moja nyuma.
Amekurupuka,hata mwenzie kashindwa kufanya poa kama alivyofanya kwenye Don't Bother ya Joh Makini.
#Maoni yangu
Period
mmmmh Eti kafanya vizuri kuliko kwenye Dont bother! like seriously? Anyway tofauti ipo kule alifanya kama Hiphop hapa kafanya tofauti so usituchanganye kama hasi na chanya( in diamond voice)

Video nzima umeona wanamwaga pesa tuuu? ile style kucheza hujaona? vile diamond alivyo imba hujaona tofauti na AKA alivyo fanya hujaona tofauti si kila mtu alitegemea AKA angechana kama kawaida ake! Anyway naheshimu mawazo yako na nina heshimu Team yako pia!
 
Jamani Diamond ni sayari nyingine, hii wimbo ni moto nimependa zaidi audio hiyo dance all tune. Ni music ya kimataifa zaidi ata asiyeelewa kinacjoimbwa atapenda.

Kumfananisha diamond na Ali kiba ni sawa na kufananisha kitambi na mimba. Diamond ni dope!
 
Hii ngoma haiwezi kua maarufu hapa bongo coz ya aina yenyewe ya wimbo sio wa kuchangamka,(but video sio mbaya)still kwangu mimi 'NaNa' na 'utanipenda' ni bora zaidi ya huu,by the way km nilivyosema hii ngomA inaweza kua maarufu kwa mataifa ya nje ya east Africa.frankly speaking kwa mara ya kwanza nasema diamond hajanikamata kwa hii ngoma......but haijabadili ubig fan wangu kwa chibu.....ni mtazamo wangu.
Naam,hakika sikukosea kukukubali wewe tu of all Chibu's JF fans.
Mwingine ni Steph Curry....you guys mnajielewa sana.
Niseme nini cha zaidi?Hakuna....
Ukweli uliosema nadhani utawachoma sana wengine.
 
Naam,hakika sikukosea kukukubali wewe tu of all Chibu's JF fans.
Mwingine ni Steph Curry....you guys mnajielewa sana.
Niseme nini cha zaidi?Hakuna....
Ukweli uliosema nadhani utawachoma sana wengine.
Acha Ukweli na usemwe tu...i predict huu wimbo unaweza kukosa thamani kama ule wa Mond x donald "wangu"....!!
 
Review..
Kama Diamond platnumz mwenyewe alivyosema jana kabla ya video hii kutoka kuwa sasa ni zamu ya kuiteka South Africa na America kwa video hii naamini tumeanza kutimiza lengo mapema sana katika kuiteka SA.! Ikumbukwe kwamba mwaka 2014, 2015 ilikuwa dedicated katika kuiteka West Africa na lengo hili lilitimia kwa 100%!!

So, nadhani kazi ya kupenentrate market ya SA imeanza kwa kishindo na Inshallah naamini kabla nusu hii ya kwanza ya mwaka haijaisha tutakuwa tumefanikiwa katika hilo na naamini kati ya May or June tutegemee bonge la video lingine la Chibu na moja ya mastaa wa kubwa wa marekani ila kwa sasa tuendelee kuenjoy Make Me Sing...

Go go go Chibu.!!!
 
Naam,hakika sikukosea kukukubali wewe tu of all Chibu's JF fans.
Mwingine ni Steph Curry....you guys mnajielewa sana.
Niseme nini cha zaidi?Hakuna....
Ukweli uliosema nadhani utawachoma sana wengine.
Huo ukweli (true lie) utamchoma no one, hii ngoma naiona juu kwenye chat za MTV na Trace wiki chache zijazo.....watch this space!!
 
Sio wimbo wake ni wa pamoja yaani aka anauweka kwenye album yake halikadhalika diamond pia acha ushabiki mandazi
 
Sasa hivi anaona kutoa wa kwake ni sheeda hawezi tena amebaki kuimba pamoja
 
Video ya kwanza ya Diamond niliyoishia katikati kuiangalia, haijaniimpress kbs ukilinganisha na nyimbo zake za nyuma...
 
Back
Top Bottom