AKA & Diamond Platinumz - Make Me Sing [VIDEO]

AKA & Diamond Platinumz - Make Me Sing [VIDEO]

Dakika na Sekunde yoyote kuanzia sasa Kijana Mtanzania ambaye hajawahi kutuangusha kimuziki atadondosha Video yake mpya aliyomshirikisha Msanii kutoka South Africa, AKA ambaye ndiye rapper bora kwa sasa barani Afrika.!

Wimbo unaitwa Make Me Sing, ambapo bado haijawekwa wazi lakini taarifa zilizopo ni kwamba video imefanywa na Godfather nchini SA.

Uzi huu ni maalum kwa ajili ya mashabiki wote wa Diamond platnumz na Watanzania na Waafrika wote wenye mapenzi mema ya kuufikisha muziki wetu katika level za juu kabisa.!!

Video ikidondoka tu tutaidadavua hapa na kucelebrate pamoja!! Stay tuned..
"...Hajawataja, Mademu zake humo"
 
Sijakuelewa, nimemjibu alietoa thread kuwa tayari kuna special ya diamond, we nae sijui umeibukia wapi umekuja kutua hapa kama mchawi nimekuambia wewe mxyuuuu
Msamehe bure, ndo kosa la ku ungaunga
 
Dakika na Sekunde yoyote kuanzia sasa Kijana Mtanzania ambaye hajawahi kutuangusha kimuziki atadondosha Video yake mpya aliyomshirikisha Msanii kutoka South Africa, AKA ambaye ndiye rapper bora kwa sasa barani Afrika.!

Wimbo unaitwa Make Me Sing, ambapo bado haijawekwa wazi lakini taarifa zilizopo ni kwamba video imefanywa na Godfather nchini SA.

Uzi huu ni maalum kwa ajili ya mashabiki wote wa Diamond platnumz na Watanzania na Waafrika wote wenye mapenzi mema ya kuufikisha muziki wetu katika level za juu kabisa.!!

Video ikidondoka tu tutaidadavua hapa na kucelebrate pamoja!! Stay tuned..
A.K.A sio rapper bora Afrika.....mfutilie Sarkodie...hataree
 
Level aliyofikia huyu dogo itachukua muda sana kutoweka kwenye ramani ya Muziki duniani.

Yaani hata akitoa wimbo wa kipumbavu hivi, utahit tu kwakuwa kila mmoja anataka kufuatilia What does he offer to them..!! Hata maadui zake hawabanduki kwenye ving'amuzi vyao, wengine ndo wanakesha wakikodoa macho YouTube kujua nini kijacho..!!

Kwa style hiyo Daimond atadumu sana Kimuziki

BACK TANGANYIKA
 
Make me sing
Mzigo tayari upo MTV Base, anytime kuanzia sasa kutakuwa na link kwenye Bio ya @diamondplatnumz na @akaworldwide instagram na pia punde tu mzigo utakuwa YouTube..
bcdefcb220b31dbe173a80fc1bef2cdc.jpg
226158de0d6173cf709be4ece2474dc3.jpg
40c6194eb609a8037bce2aea22f7950f.jpg
 
video inaonesha diamond na aka ni majambaz waliovamia bank na kuiba pesa nying kisha kwenda kuhonga
 
video inaonesha diamond na aka ni majambaz waliovamia bank na kuiba pesa nying kisha kwenda kuhonga
Yap! Nahisi kitu kama hicho pia, maana hiyo teaser inaonyesha mazingira flani hivi ya bank alafu Chibu aliwahi kutupia kapicha kamoja ka video ya huu wimbo yuko ameshika bunduki..
 
Sarkodie yeah yuko poa lakini flavour zao ni tofauti, so sisi wengine tunaamnini AKA ni bora zaidi!! Kuna wengine watakwambia Burna Boy ndio bora na usishangae maana ni mitazamo tu!! But nimekusoma mkuu..
Mkuu huyo anayesema Burna boy anafanya Rap atakuwa na mtindio wa ubongo..Burna boy hafanyi rap mkuu
 
Wakati tunaisubiri ii ngoma ya make me sing ya chibu na AkA hii hapa teaser nimecheka mpaka nimebanwa na mkojo duuh
 
Sijakuelewa, nimemjibu alietoa thread kuwa tayari kuna special ya diamond, we nae sijui umeibukia wapi umekuja kutua hapa kama mchawi nimekuambia wewe mxyuuuu
hshahahaaa,kama nakuona hivi ulivotoa huo msonyo,hlf km sura umekunja kdg kuonesha amechukizwa na huu ushuzi wa huyu jamaa!
 
Back
Top Bottom