Ni yule mshikaji unaye jaribu kujibanabana na kujiungaunga walau ufikie moja ya kumi ya mafanikio yakehivi daimondo ndie nani?!
Ni yule mshikaji unaye jaribu kujibanabana na kujiungaunga walau ufikie moja ya kumi ya mafanikio yakehivi daimondo ndie nani?!
"...Hajawataja, Mademu zake humo"Dakika na Sekunde yoyote kuanzia sasa Kijana Mtanzania ambaye hajawahi kutuangusha kimuziki atadondosha Video yake mpya aliyomshirikisha Msanii kutoka South Africa, AKA ambaye ndiye rapper bora kwa sasa barani Afrika.!
Wimbo unaitwa Make Me Sing, ambapo bado haijawekwa wazi lakini taarifa zilizopo ni kwamba video imefanywa na Godfather nchini SA.
Uzi huu ni maalum kwa ajili ya mashabiki wote wa Diamond platnumz na Watanzania na Waafrika wote wenye mapenzi mema ya kuufikisha muziki wetu katika level za juu kabisa.!!
Video ikidondoka tu tutaidadavua hapa na kucelebrate pamoja!! Stay tuned..
Msamehe bure, ndo kosa la ku ungaungaSijakuelewa, nimemjibu alietoa thread kuwa tayari kuna special ya diamond, we nae sijui umeibukia wapi umekuja kutua hapa kama mchawi nimekuambia wewe mxyuuuu
A.K.A sio rapper bora Afrika.....mfutilie Sarkodie...hatareeDakika na Sekunde yoyote kuanzia sasa Kijana Mtanzania ambaye hajawahi kutuangusha kimuziki atadondosha Video yake mpya aliyomshirikisha Msanii kutoka South Africa, AKA ambaye ndiye rapper bora kwa sasa barani Afrika.!
Wimbo unaitwa Make Me Sing, ambapo bado haijawekwa wazi lakini taarifa zilizopo ni kwamba video imefanywa na Godfather nchini SA.
Uzi huu ni maalum kwa ajili ya mashabiki wote wa Diamond platnumz na Watanzania na Waafrika wote wenye mapenzi mema ya kuufikisha muziki wetu katika level za juu kabisa.!!
Video ikidondoka tu tutaidadavua hapa na kucelebrate pamoja!! Stay tuned..
Au ni nani Mkuu? Nisahihishe kama niko wrong!!Teh teh...AKA ndo rapa bora Africa????......Basi sawa
Sarkodie yeah yuko poa lakini flavour zao ni tofauti, so sisi wengine tunaamnini AKA ni bora zaidi!! Kuna wengine watakwambia Burna Boy ndio bora na usishangae maana ni mitazamo tu!! But nimekusoma mkuu..A.K.A sio rapper bora Afrika.....mfutilie Sarkodie...hataree
Mzigo tayari upo MTV Base, anytime kuanzia sasa kutakuwa na link kwenye Bio ya @diamondplatnumz na @akaworldwide instagram na pia punde tu mzigo utakuwa YouTube..Make me sing
Umewahi kumsikiliza MI au Sarkodie?Au ni nani Mkuu? Nisahihishe kama niko wrong!!
Yap! Nahisi kitu kama hicho pia, maana hiyo teaser inaonyesha mazingira flani hivi ya bank alafu Chibu aliwahi kutupia kapicha kamoja ka video ya huu wimbo yuko ameshika bunduki..video inaonesha diamond na aka ni majambaz waliovamia bank na kuiba pesa nying kisha kwenda kuhonga
Yap nimewasikia na nakiri wako vizuri sana!! Lakini pia aka ni major ligi bro..Umewahi kumsikiliza MI au Sarkodie?
Mkuu huyo anayesema Burna boy anafanya Rap atakuwa na mtindio wa ubongo..Burna boy hafanyi rap mkuuSarkodie yeah yuko poa lakini flavour zao ni tofauti, so sisi wengine tunaamnini AKA ni bora zaidi!! Kuna wengine watakwambia Burna Boy ndio bora na usishangae maana ni mitazamo tu!! But nimekusoma mkuu..
Yeah..AKA anafanya poa pia.Yap nimewasikia na nakiri wako vizuri sana!! Lakini pia aka ni major ligi bro..
UlalalaaDah mkuu umenifanya nipekenyue headphone zangu nimeweka sikioni kumbe mzigo bado,dah huyu jamaa anajua sana sema basi tu.
hshahahaaa,kama nakuona hivi ulivotoa huo msonyo,hlf km sura umekunja kdg kuonesha amechukizwa na huu ushuzi wa huyu jamaa!Sijakuelewa, nimemjibu alietoa thread kuwa tayari kuna special ya diamond, we nae sijui umeibukia wapi umekuja kutua hapa kama mchawi nimekuambia wewe mxyuuuu