AKA & Diamond Platinumz - Make Me Sing [VIDEO]

AKA & Diamond Platinumz - Make Me Sing [VIDEO]

Haya walahi kwa ii video anazidi kuonyesha kua media hawako fare kumfananisha na yule jamaa sijui wanamuita Tembo sijui elephant

Kama hujaitazama sijui unangoja nn
Diamond x AKA MAKE ME SING
Alafu toa comment lako apo

Hii video kali sana, ila kwa wale wanaodadisi video zaidi utagundua kuwa video ya kiba ina uniqueness, no girls, no cars, no making it rain as other videos.
Ila hii ua Chibu ni nzuri kwa soko maana tunaangalia sana kashirikishwa au kashirikiana na nani na iko HD kiasi gani.
Ila ya Kiba nayo ni shida! It stands out kwa kuwa tofauti na video za kisasa.
 
Asante,kwa mara ya kwanza nimekuunga mkono.
Sishangai!! I expected this from you.. Anyways, kijana wetu anaendelea kuipaisha Tanzania.. Sasa ni zamu ya kuiyeka South Africa, west Africa tumeshamaliza kazi..
 
Jamani huu ushabiki utawafanya muwe wendawazimu!
Hii video ni mbovu,wamekosa idea mpya.
Video za kumwaga pesa sio kitu kinachoweza kukushawishi uangalie video kwa jicho la 3 au hata kuirudia mara ya pili.

Diamond alipotoa video na wimbo wa utanipenda nilimsifia,ila kwa video na wimbo huu ni hatua moja nyuma.
Amekurupuka,hata mwenzie kashindwa kufanya poa kama alivyofanya kwenye Don't Bother ya Joh Makini.
#Maoni yangu
Period
 
Haya walahi kwa ii video anazidi kuonyesha kua media hawako fare kumfananisha na yule jamaa sijui wanamuita Tembo sijui elephant

Kama hujaitazama sijui unangoja nn
Diamond x AKA MAKE ME SING
Alafu toa comment lako apo

Kumbe mlitaka na Kiba nae atengeneze km movie??, video na kiimbwacho viko irrelevant kabisaa. Km kwenye kabat lenu IPO hiyo tu jipangeni sana
 
Jamani huu ushabiki utawafanya muwe wendawazimu!
Hii video ni mbovu,wamekosa idea mpya.
Video za kumwaga pesa sio kitu kinachoweza kukushawishi uangalie video kwa jicho la 3 au hata kuirudia mara ya pili.

Diamond alipotoa video na wimbo wa utanipenda nilimsifia,ila kwa video na wimbo huu ni hatua moja nyuma.
Amekurupuka,hata mwenzie kashindwa kufanya poa kama alivyofanya kwenye Don't Bother ya Joh Makini.
#Maoni yangu
Period
Ngoja ichukue tuzo ndio tujue kati ya wewe na the rest of africa nani anajua !
 
Jamani huu ushabiki utawafanya muwe wendawazimu!
Hii video ni mbovu,wamekosa idea mpya.
Video za kumwaga pesa sio kitu kinachoweza kukushawishi uangalie video kwa jicho la 3 au hata kuirudia mara ya pili.

Diamond alipotoa video na wimbo wa utanipenda nilimsifia,ila kwa video na wimbo huu ni hatua moja nyuma.
Amekurupuka,hata mwenzie kashindwa kufanya poa kama alivyofanya kwenye Don't Bother ya Joh Makini.
#Maoni yangu
Period
Nifah ukapimwe akili sio bure
 
Sishangai!! I expected this from you.. Anyways, kijana wetu anaendelea kuipaisha Tanzania.. Sasa ni zamu ya kuiyeka South Africa, west Africa tumeshamaliza kazi..
Wewe kima sio kila nisemacho unarukia juu kwa juu.
Ngoja nikupe mwanga kidogo tafuta thread nilizowahi kuanzisha kisha ndio uje kusema huu upuuzi wako hapa.
Mimi sio nyumbu niliyepofushwa na mahaba kama wewe.
 
ali kibwengo kumringanisha na Chibu ni sawa na kumringanisha mbwa koko na Simbaaaaaaaa....Big up Mond kaza buti
 
Back
Top Bottom