Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,410
- 82,313
Asante,hii video na wimbo vyote kwa pamoja ni vibovu sana.Sijui hata ni nini hiki.... Yaani haujaniridhisha Bora utanipenda!
Nimesema mimi nikaonekana hater,wewe sijui utaitwa jina gani!
Asante,hii video na wimbo vyote kwa pamoja ni vibovu sana.Sijui hata ni nini hiki.... Yaani haujaniridhisha Bora utanipenda!
wameshirikiana woteHvi Huu wimbo diamond kashirikishwa au ni wake?
Ntaitwa Snitch ila kwenye ukweli tunasema jamani alafu diamond kaonekana kama underground masikini yaani mbwembwe zake sijaziona mleAsante,hii video na wimbo vyote kwa pamoja ni vibovu sana.
Nimesema mimi nikaonekana hater,wewe sijui utaitwa jina gani!
Ukitaka kuenjoy vizuri hii video..Mute sauti
kuna mwengine atakuja na kusema CASSPER NYOVEST...hawe
hawezi kukuelewa mkuu, hawa mashabiki uchwala wana shida sn
Asante mkuuwa
wameshirikiana wote
ila LUPELA ndo hamna kitu kabisa..!Asante,hii video na wimbo vyote kwa pamoja ni vibovu sana.
Nimesema mimi nikaonekana hater,wewe sijui utaitwa jina gani!
ila kwa hii nyimbo Lupela inamfunika.
mbona mnatuchanganya nyie team vifaduro..mara idea ya lil wyne-got money cjui ndo madudu gn,mara snitch ya Obbi cjui ndo kitu gn...ebu tafuteni point moja ambayo mtasimama nayo ktk kuudiss huu wimbo ili tuwaelewe...mbona hamnaga unanimity ktk hizi kosoa zenu!Dah yaani mkuu mm mwnyw nimeshangaa, wameiba idea ya video ya snitch ya Obbi Trice ft. Akon,
Nyimbo mbaaaaaaaaya
Video mbaaaaaaaaaya
Yani kisa AKA kaimba na Chibu nae mnamuwashia moto, je huu sio ushabiki uchwala ??hawe
hawezi kukuelewa mkuu, hawa mashabiki uchwala wana shida sn
Jeshi la mtu mmojaBaada ya kuangalia video nikakosa comment, nikajaribu kusikiliza bila kuangalia video nikakosa comment baada ya kuondoa sauti na kuangalia video nikasema angalau.
Naipa 7/10 hii nyimbo kwa kweli. Nana was something cool kwa video na audio.
Imebidi niirudie Nana ili kukubali kwamba diamond ni mkali, ila kwa hii nyimbo Lupela inamfunika.
Nilikuwa natafuta hiyo sentesi tu kwenye post yako yote coz nlijua tu unakoelekea..
Uzuri tu ni kwamba wote (you included) tunajua unachoongea ni uongo..
Thubutuuuuuu mondi mpaka anaacha muziki hawezi kufika level ya uimbaji wa Kiba.ila LUPELA ndo hamna kitu kabisa..!
#natania tu
Sio ya diamond bana wameimba pamoja hana nyimbo nyingine zaidi ya kufulia na kurudi tandaleVideo ya kwanza ya Diamond niliyoishia katikati kuiangalia, haijaniimpress kbs ukilinganisha na nyimbo zake za nyuma...