AKA & Diamond Platinumz - Make Me Sing [VIDEO]

AKA & Diamond Platinumz - Make Me Sing [VIDEO]

Hui nyimbo ya diamond kweli?... Starting from title na parcitipation mbna kama msouth katawala + title kuandikwa AKA +DIAMOND sipati maana kamili bado
 
ANYWAY MIMI SIKO TEAM HII, WALA ILE, NA SIGN OUT! NILIKOSEA NJIA KUJA HUKU.
 
Kuna kushoot video na kurekodiwa. Usikubali kurekodiwa
cef68ef580da15e4f9c10287bac68e52.jpg
 
Tuache double standards:-
Midundo ya Lupela tulisema ya H.Machozi aya hii video imeigwa wapi lazima tutajifanya machizi kua hatujui ila moyoni tunajua.
Tunasema video nzuri ifanane na hadithi ya wimbo aya sasa 'make me sing' watu wanapora bank
Kama angefanya ivi yule mwingine haaaa haaa pangechimbika hapa kua anaenda tofauti na video
Simply Godfather ndio director anaejua Platnumz anataka nini kwenye kichupa uyu aliefanya hii katuibia hii haiwezi kugusa mzigo wa UTANIPENDA kuanzia audio na video,kama vipi mwisho wa mwezi atoe video nyingine hakuna namna.
Vipi kuhusu hii joint na tangazo la voda nini kimefunika mwenzake maana ndio comparison sahihi kwetu duh JF raha sana maana uko kwingine kuna timu Kiba na Platnumz ukimkosoa mmoja wao wanakukimbiza uku shwari kwetu wapenda muziki.
 
Hii ngoma salute sana Diamond ni big star yani watu wapo kwenye shock huu muziki wataanza kuuinjoi after 3 days. Yani hii ngoma itafanya poa poa poa sana ndani na nje asiye amini atunze hii post.
Sawa Mkuu, nakutunzia post.
 

U de queen on my kingdom
Number 1 in a million
Bout time I'll put a on
Bad girls got the eyes on ma income
No stress or drama
Jah Bless Asante sanaaa
Giv thanks to God 4 my queen love
Dar es salaam put yah Up

Tatataraaaaa ra ra raaaaaaaa
Tatataraaaaaaa ra ra raaaaaaaa

On Repeat
 
Back
Top Bottom