Be patient bro!! Only time will tell.. Tutabisha kuhusu hilo August this year..Kwa mziki UPI wewe au huu huu wa kuimba pamoja na aka ndio upenye hadi marekani? Hebu acha dharau aisee
Mi sijaona relation/correlation ya wimbo na hiyo video.
mbona mnatuchanganya nyie team vifaduro..mara idea ya lil wyne-got money cjui ndo madudu gn,mara snitch ya Obbi cjui ndo kitu gn...ebu tafuteni point moja ambayo mtasimama nayo ktk kuudiss huu wimbo ili tuwaelewe...mbona hamnaga unanimity ktk hizi kosoa zenu!
mkishaanza kuwa na mitizamo tofauti nyie team haters basi tutajua jamaa hawajacopy sehemu,maana mnashindwa kupambanua which is which!
Chuki ni moja ya kitu kibaya zaidi anachokifuga binadamu
aangakuke mara ngapi,kwisha habari yake JE UTAMPENDA????Ha haaa, team haters at work! hawamtakii mema bali wanamsubiri aanguke wamcheke.
sawa mie tema kiba,JE UTAMPENDA???Team Ali Kimba ww u shuld keep kimyaaaaaa
subiri tuone coz actions speak louder than mere words...words can build ten storeys house on tha air!Kiukweli hamna lolote la maana tatzo mashabiki wa mondi mnaaendeshwa kwa mihemko, video mbovu na audio mbovu, huyu AKA kachemka sana km ndio anashindana na CASSPER atasubiri sn
kwa hili jibu lako na fikra zako kweli NIMEEAMINI WATU WA PWANI MNA WAZA UMBEA NA MAJUNGU TUNaona baada ya Baba Tiffah kutangaza anatoa wimbo wiki hii nawe ukakimbilia kufungua account ingine ukimsubiria...hongera kwa kumsapoti maanabkitu ambacho kwako kibaya wengine ndio kitawavutia waone ubaya upo wapi na Diamond pesa itaongrzeka...usisahau kufungua na ID ya kujijibu na kujisifia...ndimu bado zipo
wewe ni muongo unayeidanganya nafsi yako!siamin ka nimeishia kati kuangalia hii video... nothing special kwa kweli
kakoment kwenye JUKWAA LAKO,je utampenda???mimi nadhani hii tag ya "News Alert " Inatumika vibaya! ..... hii thread inakuwaje NEWS ALERT ??!
Mnamwobea jamaa adondoke ili iweje?
Sasa wewe utanipenda si imetoka na nagaramia atoe mwingine basinawe usitake kujifanya ndo unaishi sayari ya mars,inamaana UTANIPENDA hujaisikia/hujaiona?
Baada ya kuichek poa nimegunduaNtaitwa Snitch ila kwenye ukweli tunasema jamani alafu diamond kaonekana kama underground masikini yaani mbwembwe zake sijaziona mle
watu wanafanya kazi kulingana na mikakati yao sio kama unavotaka wewe!iyo nagaramia imekifanya nini cha maana?ebu subiri iyo sumu ya saratani iendelee kusambaa taratibu mwilini mwako!Sasa wewe utanipenda si imetoka na nagaramia atoe mwingine basi