AKA & Diamond Platinumz - Make Me Sing [VIDEO]

AKA & Diamond Platinumz - Make Me Sing [VIDEO]

Mosi, hakuna suala la kutoka nje ya mada! Pili, bora umesema wazi kwamba "nyinyi mnaaamini kwamba video inatokana na maudhui....!" Sasa unless kama unataka na mimi niseme kama "mnavyoamini nyinyi!"

Sasa nirudi kwenye mada.

Jukwaa hili hili December 27, 2014 kuhusu video ya Mwana ya Ali Kiba nilisema:
December 27, 2014 hadi leo zaidi ya mwaka mmoja umepita na kuhusu video ya Diamond nimesema:Msisitizo kwenye RED & BLUE!!! Kwahiyo hapo utaona nilichosema dhidi ya video ya Diamond leo ndicho hicho hicho nilikisema dhidi ya Kiba zaidi ya mwaka mmoja uliopita kwahiyo hapo hakuna suala la u-Team!

Sasa tatizo lako wewe na wengine, unataka mtu akiimba "nikinywa maji nakuona kwenye glass" ndo basi tena unataka ionekane glass yenye picha ya mtu ndani yake. Sasa hiyo itakuwa ni kuzigeuza lyrics kuwa movie/video script!!! Naweka kumbukumbu sawa; hakuna dhambi kutengeneza story line lakini vile vile hakuna dhambi kutokuwa na story line basing on lyrics. Video script writer anaweza tu kuusikiliza wimbo mwanzo mpaka mwisho mara nyingi awezavyo kisha ana-develop theme! Story line atakayotengeneza itatokana na hii theme ambayo amei-develop na sio kugeuza mashairi kuwa ndio story line yeneyewe! Sasa ukiangalia Make Me Sing mwandishi alichoangalia ni kwamba wimbo unamzungumzia "my everything" wa mtu! Aka-develop maudhui ya namna gani mwanaume anakuwa tayari kwa lolote kwa "my everything" wake. Hapo akatumia robbery kuwasilisha message ya vile mtu alivyo tayari kwa lolote! Hata hivyo, kv ni sanaa mwandishi aka-conclude nini mwisho wa yote hayo! Umefanya tukio wajomba wakakuotea "my everything" wako mwenyewe ukamwacha!!!

Lakini kwa upande mwingine suala la story line works better kutegemeana na mashairi wa wimbo wenyewe! Kama umeisikiliza Utanipenda, just kwa mashairi yake tu unaweza kumsimulia mtu na akakuelewa! Yaani mashairi peke yake yanasimama kama hadithi na unaweza kutengenezea hata movie (sio video). Mfano mwingine ni Starehe. So, kwa mashairi kama hayo ndipo idea ya story line inayoendana na mashairi ya wimbo ina-work better!!
Daahh!! Sijui nisemeje.. Hii ndio type ya expertise tunayotaka, madini!!
Salute mkuu..
 
Hapa JF naona armchair experts wa music wako wengi sana-wanachosahau ni kwamba Dai has no more territories to conquer in the motherland-anajaribu ku crack soko la nje.hence analysis ya music wake inatakiwa iwe on that context-kumlinganisha Dai with local musicians is a great injustice
 
Dakika na Sekunde yoyote kuanzia sasa Kijana Mtanzania ambaye hajawahi kutuangusha kimuziki atadondosha Video yake mpya aliyomshirikisha Msanii kutoka South Africa, AKA ambaye ndiye rapper bora kwa sasa barani Afrika.!

Wimbo unaitwa Make Me Sing..


============================

Mzigo huu hapa.!!

Shikamooooo Chibuuu...




=============================

Review..

Kama Diamond platnumz mwenyewe alivyosema jana kabla ya video hii kutoka kuwa sasa ni zamu ya kuiteka South Africa na America kwa video hii naamini tumeanza kutimiza lengo mapema sana katika kuiteka SA.! Ikumbukwe kwamba mwaka 2014, 2015 ilikuwa dedicated katika kuiteka West Africa na lengo hili lilitimia kwa 100%!!

So, nadhani kazi ya kupenentrate market ya SA imeanza kwa kishindo na Inshallah naamini kabla nusu hii ya kwanza ya mwaka haijaisha tutakuwa tumefanikiwa katika hilo na naamini kati ya May or June tutegemee bonge la video lingine la Chibu na moja ya mastaa wa kubwa wa marekani ila kwa sasa tuendelee kuenjoy Make Me Sing...

Go go go Chibu.!!!

Punguza mahaba m@m@,aka ni rapa namba moja Afrika kusini na si Afrika,na kama kuna wimbo mbaya ni huu
 
Mashabiki wa ALI KIMBA mshalishwa MAPELA mmeanza kujambajamba. bila breki
Jifunzeni kutofautisha Mbuzi & beberu...nyani & sokwe zen Simba & paka !!!!!!!
 
Video yenyewe wamecopy kutoka kwenye video ya get money lil Wayne ft t pain
 
nenda kaangalie video ya lil' Wayne ft T Pain-Got Money uje na maelezo ya kutosha,
Hii hoja yako niliisahau! Video ya Got Money naifahamu kwahiyo hata nisipoiangalia tena bado naweza kuielezea. Nafahamu, unachotaka kusema ni kwamba wameiga hii video simply because video zote mbili zina-involve urushaji wa pesa!!

Tatizo wengi wenu kwenye hili jamvi sio wasanii wa eneo lolote lile la sanaa kwahiyo hata tafsiri rasmi ya ku-copy mnailezea ndivyo sivyo! Back then I did music though mostly for funny. For the time being am screenwriter and back then kabla sijaifahamu thamani yangu I used to write fictitious stories for newspapers. Kwa misingi hiyo, utakuta angalau kidogo naifahamu sanaa na limitations zake! Kutokana na hayo, unatakiwa kufahamu yafuatayo:
  • Hakuna copyright ya idea wala title: Nime-include "title" manake wachambuzi wa JF wakiona hata title imefanana tu, watakuambia "ame-copy." Huwezi kusema X ame-copy property ambayo legally haiwezi kuwa copyrighted. Si hivyo tu, pia hata hiyo copying yenyewe ina viwango vyake! X anaweza ku-copy mstari mzima wa wimbo-- word to word, punctuation to punctuation na bado kisheria hiyo isiwe considered kwamba ni copying! Hata kama idea zimefanana, kama ni filamu au music video, kinachoangaliwa ni plotting na sio idea au tiltle. Na kama ni filamu, kwa kuwa ni ndefu, unaweza kukuta scene moja au mbili zimefanana na bado isiwe crime from property right perspective though inaweza kuwa crime from JF Analysts especially kama alleged product ni ya Mtanzania. Wewe umetengeneza filamu yako kuhusu ugaidi na kuna scene magaidi wanaripua ghorofa! Wewe kutengeneza filamu ya kuhusu ugaidi hakuzuii wengine wasitengeneze filamu kuhusu ugaidi! Na ikiwa kesho na keshokutwa na mimi natengeneza filamu kuhusu ugaidi halafu kuna scene magaidi wanaripua ghorofa hiyo pia huwezi kusema kwamba eti nime-copy scene yako ya magaidi kuripua ghorofa-- by the way, that's how terrorists do, right! Now tell me, hivi ukikaa chini na kutengeneza video story kama inavyoonekana video ya wimbo wa "Make Me Sing" kisha ukatengeneza video story kama inavyoonekana video ya wimbo wa Got Me Money; do you really believe PLOTTING zake zitafanana?
 
107d0c4505fa450244e4be409c0b04b1.jpg


Less than 48hrs, zaidi ya 300K views.!!!

Tarararaaaaaaa tararaaaaaa!!
......... Sangoma wa nini nshanasa..!!
 
Katika kitu chochote tunavutiwa na ule utofauti.... nyimbo za magari wameonyesha wengi sana tunataka new taste.... mnapokuwa na timu jaribu pia kuangalia kitu kilicho bora... dimond napenda kazi zake but video ya kiba ilikuw na utofauti ulionivutia sana

hivi karne hii ya 21 unatafuta kitu cha kipekee duh...labda utolee chooni unaku**a
 
Back
Top Bottom