AKA & Diamond Platinumz - Make Me Sing [VIDEO]

AKA & Diamond Platinumz - Make Me Sing [VIDEO]

Ha haaa, team haters at work! hawamtakii mema bali wanamsubiri aanguke wamcheke.
umeona hapo mkuu!yani wanajikanyaga kanyaga tu...dunk dunk no position,yote pilipili tyr ipo machoni inafanya kazi yake ya kuwashawasha,sasa hawajui wakimbilie maji au maziwa!
 
Ha haaa, team haters at work! hawamtakii mema bali wanamsubiri aanguke wamcheke.
umeona hapo mkuu!yani wanajikanyaga kanyaga tu...dunk dunk no position,yote pilipili tyr ipo machoni inafanya kazi yake ya kuwashawasha,sasa hawajui wakimbilie maji au maziwa!binaadam ni kiumbe mzito sana aise
 
Msema ukweli mpenzi wa Mungu sijaipenda audio wala video .... Mpaka Leo wimbo wa UKIMUONA unanikosha japo ni audio hii ya Leo mmmh Labda kwa vile Sandoval hela hahahaaa
Ukimwona ni the best kwa zote... Anyway ngoja niupe muda huuu may be
 
Be patient bro!! Only time will tell.. Tutabisha kuhusu hilo August this year..
Hahahaa sawa tusubiri huo muda wizkid p sqwea hawa tu ndio wamepenya hadi marekani kwa dimond ni sawa na kusubiri meli airport
 
Hahahaa sawa tusubiri huo muda wizkid p sqwea hawa tu ndio wamepenya hadi marekani kwa dimond ni sawa na kusubiri meli airport
mbona diamond tayar keshapenya,sema bado muda tu wakuidhihirishia dunia,na dunia ikajua kuwa huyu kinda ni hatareeeee!
 
watu wanafanya kazi kulingana na mikakati yao sio kama unavotaka wewe!iyo nagaramia imekifanya nini cha maana?ebu subiri iyo sumu ya saratani iendelee kusambaa taratibu mwilini mwako!
Ukikuta MTU anaesema nagaramia haijatamba inabidi tumpime akili iko juu mpaka Leo labda ifunikwe na lupela tu basi
 
Ukikuta MTU anaesema nagaramia haijatamba inabidi tumpime akili iko juu mpaka Leo labda ifunikwe na lupela tu basi
Nagharamia ina views ngapi U tube? imeshika namba ngapi kwenye chat za TV Africa? mark my words before April, Make me sing itakua na Views nyingi kuliko lupela na nagharamia combined and its vibrations will be all over Africa!
 
Ukimuona ule wimbo una melody chorus beat safi yani hakuna kilichopungua.
Yani ni one of the best song I ever heard.
Akitaka tengeneza wimbo mkali ukaribie ule arudi kwa bob manecky maana uwa anajua suka beat zenye emotional feelings
 
kwa hili jibu lako na fikra zako kweli NIMEEAMINI WATU WA PWANI MNA WAZA UMBEA NA MAJUNGU TU

Utajiju... Ukweli umekukuna...sio Pwani tu...Tandale. na ka uzi kako kameunganishwa kasicho na kichwa wala miguu..
 
Diamond mbaya sanaaaaa... Huyu dogo ni hatari aisee, kumchukia inahitaji moyo mgumu kama jiwe..

Ila kwenye hii nyimbo AKA kampoteza kidogo mdogo wangu... AKA katisha sana hapa kuliko kwenye ile joint ya Makini...
 
Back
Top Bottom