AJALI: Basi la kampuni ya Jordan lapata ajali na kuua

AJALI: Basi la kampuni ya Jordan lapata ajali na kuua

Noooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo!!!!!!!!!!
 
Jamani kuna vitu vinaendelea ........ hii si kawaida ....... hii nchi inahitaji watu wa Mungu kusimama sasa kuliko wakati wowote .....
 
Mkuu, kufunga hii kitu watakwambia ni ghali japo pia ni kwa faida yao wenyewe. Kufunga hii kitu kwa gari moja ni kama $750 japo subscription kwa mwaka $300 hivi lakini somo halitaeleweka kwao.

Unataka wagome tena?Maana wakigoma ni shida kwa watembea kwa miguu wakifanya kazi wanatumaliza ,sielewi.
 
Najuta kuwa MTanzania! Je, hii ndio nchi yenye amani? Miundo mbinu mibovu, barabara nyingi za tangy ukoloni ndizo zinazotumika mpaka Leo, hatujui kuna ongezeko kubwa la watu? Hatuna maeneo ya hifadhi za barabara, barabara nyingi hat a zinazounga mikoa ni nyembamba sana, ukiachana name hizo hata zilizoko mijini zona mashimo hatari hatari, lakini pia kama Luna mchezo unachezwa uachwe Mara moja watanzania wanakwisha sana jamani
 
Mtu mmoja ndio amefariki na sio nane kama inavyoelezwa. Ni vyema tuwe tunajitahidi kupata taarifa sahihi kabla ya kuandika maana unawaambia uma wa Watanzania. Kama taarifa haujaipata vizuri basi unasema idadi ya vifo na majeruhi haijafahamika. Ila tunashukuru kwa Taarifa na vielelezo vya picha. Nami nilikuwepo eneo husika. Hao majeruhi wanaendelea kupata matibabu ktk hosp ya wilaya Nzega. Poleni wote mlioguswa na tukio hili pamoja na wafiwa. Mungu awape faraja.
 
Mbona wanawamaliza wapiga kura tena...wanataka kutawala makaburi baada ya binaadamu....wanashangaza kweli hawa.......
 
Hapa naona unajaribu kutwanga maji kwenye kinu. Ni jambo lipi liliwahi kuanzishwa likafanikiwa na sirikiali ya awamu hii? Ukisema hayo yote unatengeneza mlango mwingine wa rushwa kwa sababu hakuna kitakachofanyika bila ya rushwa
Mkulima wa Kuku wanasema awamu ya kwanza ililinda haki za Watanzania (na hata nje ya mipaka)
Awamu ya pili ilifungua milango kwa kila mmoja bila utaratibu wowote
Awamu ya tatu ikawaangalia wanaccm zaidi
Awamu ya sasa imekuwa specific zaidi - maswaiba!

 
wakiambiwa wafanye hivyo watagoma huku wakisema serikali imebuni mpango wa kupiga hela....watagoma na watapata support ya watu wengi wakiwemo members wa humu.

Umenena kweli kabisa!
Sijui tupojeee
 
Tatizo zikiwekwa sheria za kuwabana madereva wakorofi na kudhibiti vyombo visivyo salama sisi abiria ndio tunakua wapiga kelele kulalamika.
Madereva wanajua sana kucheza na akili zetu.
 
Madereva watatumaliza.
Wawekewe sheria kali zaidi.
 
Tuseme ni hali ya hewa mbayaa au vp, lakini hapana mvua hazijaanza kunyesha leo. Mungu atunusuru kwa kweli. Poleni wote.
 
Eneo hili nalijua maana mimi mwenyewe nishakuwa muhanga.Kuna kona kali sana na mbaya zaidi hakuna kibao kinachoonesha kuwa mbele kuna kona kali na barabara ni nzuri sana inashawishi kuzidi kuchochea spidi.Mara nyingi mabasi huwa yanapinduka eneo lile kutokana na madereva kushindwa ku-control gari.

Sitapasahau Kitangiri,Nzega.
View attachment 243603

Ajal kadhaa hutokea barabara za lami kwa uzur wake kuliko rough roads.Je serikal iache kujenga barabara za lami kuzuia ajali?
 
''Kutokana na ajali za barabarani ambazo watawala kama vile wameshindwa kusimamia au kuchukua hatua za dharura kunusuru maisha ya watu ambayo yanapotea kila siku;Ningekuwa kiongozi ningesema haya yafuatayo:


''Sitaki kusikia ajali zinatokea ,hivyo basi kamanda wa usalaama barabani wa eneo usika (eneo la ajari),mkuu wa wilaya wa eneo n.k , barua zao ziko tayari kufukuzwa kazi kama hayo yatatokea katika eneo lao ikiambatana na kutunga sheria ya kufungwa kwa miaka 1 jela kwa kushindwa kuweka mikakati ya kuzuia ajali'katika eneo lao''


MATOKEO:Wakuu hao wataweka mitakati ya kudhibiti ajari, hutasikia ajari za hovyo ovyo.


Mambo mengine
1.kama wauzaji wa madawa ya kulevya wamewekewa sheria kali,kwa nini madereva na wamiliki wa kampuni ya usafirishaji yasiwekewe sheria kali.''SHERIA ITUNGWE HARAKA''
Mfano🙁a)ikithibitika ni uzembe wa dereva;Dereva akisababisha ajari atalipa fidia ya TZS billion 10 Na kifungo cha maisha jela
(b) Wamiliki wa mabasi hayo pia watalipa fidia ya TZS billion 10 na kufungiwa kufanya shughuli za usafirishaji kwa miaka isiopungua 5.


2.Serikali kufuta vyuo vya mitaani ambavyo havina sifa za kufundisha udereva.




Je kama haya yakisimamiwa kutakuwa na ajalii ZA barabarani ?

Kama kuna vitu ambaavyo mackio yangu yamechoka kuckia kwa mwez huu ni ajali mmmmmm????
 
Back
Top Bottom