''Kutokana na ajali za barabarani ambazo watawala kama vile wameshindwa kusimamia au kuchukua hatua za dharura kunusuru maisha ya watu ambayo yanapotea kila siku;Ningekuwa kiongozi ningesema haya yafuatayo:
''Sitaki kusikia ajali zinatokea ,hivyo basi kamanda wa usalaama barabani wa eneo usika (eneo la ajari),mkuu wa wilaya wa eneo n.k , barua zao ziko tayari kufukuzwa kazi kama hayo yatatokea katika eneo lao ikiambatana na kutunga sheria ya kufungwa kwa miaka 1 jela kwa kushindwa kuweka mikakati ya kuzuia ajali'katika eneo lao''
MATOKEO:Wakuu hao wataweka mitakati ya kudhibiti ajari, hutasikia ajari za hovyo ovyo.
Mambo mengine
1.kama wauzaji wa madawa ya kulevya wamewekewa sheria kali,kwa nini madereva na wamiliki wa kampuni ya usafirishaji yasiwekewe sheria kali.''SHERIA ITUNGWE HARAKA''
Mfano🙁a)ikithibitika ni uzembe wa dereva;Dereva akisababisha ajari atalipa fidia ya TZS billion 10 Na kifungo cha maisha jela
(b) Wamiliki wa mabasi hayo pia watalipa fidia ya TZS billion 10 na kufungiwa kufanya shughuli za usafirishaji kwa miaka isiopungua 5.
2.Serikali kufuta vyuo vya mitaani ambavyo havina sifa za kufundisha udereva.
Je kama haya yakisimamiwa kutakuwa na ajalii ZA barabarani ?