AJALI: Basi la kampuni ya Jordan lapata ajali na kuua

AJALI: Basi la kampuni ya Jordan lapata ajali na kuua

Hapa rafiki naona kuna zaidi ya barabara. Jiulize; kwa nini tunasikia ajali nyingi mwaka wa uchaguzi? Ni ajali za barabarani kweli au makafara? Inauma sana kuona watanzania tunatoana sadaka kwa ajili ya uongozi tu (iwapo ni makafar ya uchaguzi)
Sasa nani alaumiwe kwa kuwapa madaraka watu wanaoamini nguvu za giza na kupelekea haya!?

 
Back
Top Bottom