AJALI: Basi la kampuni ya Jordan lapata ajali na kuua

AJALI: Basi la kampuni ya Jordan lapata ajali na kuua

Dili la tochi liko pale pale :eyebrows: :eyebrows:

tochi.jpeg
 
Tatizo serikali yetu iko kisiasa zaidi kuliko kiutendaji that's why mgomo kidogo tu inaanza kujichanganya
 
Kwanini hayo mabasi yaasifungwe tracking devices ambazo zitaonyesha speed ya gari then traffic police wanakuwa na control center yao wanamonitor hayo magari dereva akizidisha wanaweza kumpigia simu kumpa onyo na endapo ataendelea na huo mchezo wanawasiliana na kituo cha polisi karibu na eneo gari linapoelekea dereva anabadilishwa na yule aliyekuwa na makosa anabaki hapo kusubiri kusomewa mashtaka.
 
Sijui tusemeje sasa, hii inatosha jamani!
Je, na matokeo ya design za barabara zinazoendana na viwango vya BRN - matokeo makubwa sasa au ni harakati za wanasiasa wa Kitanzania kuelekea 2015!?

Polisi wanapochukua hatua kudhibiti, chadema kwa kupitia mlango wa nyuma mnahamasisha maandamano na kuzikataa tochi, tutakwisha achenu siasa kwenye maisha ya watu.Sio kila jambo la serikali basi ni kupinga tu hata kama zuri kisa ni wapinzani.
 
Traffic department ijipange kutengeneza kitabu cha kanuni na sheria zote za barabarani ambapo kila dereva atanunua na kukisoma atapokuwa tayari aingie theory test na akifeli anarudia tena. Na wote wapya waingie theory na practical test.
Hiyo itasaidia kwani kuna watu hawana hata licence na wapo barabarani kuuwa watu
 
Basi la kampuni ya Jordan limepinduka na kuua watu 8 kilometa 6 kutoka mji wa nzega.lilikua likitokea mwanza kwenda moshi.

Nisaidieni hii ni ajali ya leo tar.15/04/'15 au ya jana? Ni ipi taarifa sahihi ya waliopoteza maisha kati ya mmoja na wanane? Sasa hizi bus zisafiri chini ya askari mmoja mmoja wa jwtz na dereva kila akitaka kunywa maji afunguliwe chupa mpya na askari asije weka kiroba.Na awe chini ya usimamizi wake hata akiingia hotelini asijevuta bangi au kubwia madawa ya kulevya hadi mwisho wa safari.Gharama za askari zigharamiwe na tajiri wa gari. Ni pendekezo tu maana naona wapiga kura wanapunguzwa na hizi ajali.
 
Mungu wangu! Itabidi kuwe na utaratibu rasmi wa kuanza na Sala kabla ya Safari. Uwepo utaratibu wa watu kuomba ( Kil mtu kwa imani yak) walau kwa dakika moja kabla safari hazijaanza. Mungu wetu sio kiziwi hata asitusikie. Inatohsa sasa jamani.

Kwanini hayo mabasi yaasifungwe tracking devices ambazo zitaonyesha speed ya gari then traffic police wanakuwa na control center yao wanamonitor hayo magari dereva akizidisha wanaweza kumpigia simu kumpa onyo na endapo ataendelea na huo mchezo wanawasiliana na kituo cha polisi karibu na eneo gari linapoelekea dereva anabadilishwa na yule aliyekuwa na makosa anabaki hapo kusubiri kusomewa mashtaka.



Hilo litawezekana endapo sumatra itapewa jukumu zima la kusimamia masuala yote ya usalama wa vyombo vya kubeba abiria.
Sumatra wanapaswa wakamate ,wachukue hatua ya faini au kuwafikisha madereva wakorofi polisi na kuwafungulia kesi.
Sumatra ninaikubali maana kule wanesheheni wasomi waliosomea mambo ya uchukuzi kwa kiwango cha juu tofauti na usimamizi wa polisi wanaokaa tu kama kitengo bila kuangalia taaluma matokeo yake hawawezi hata kumuelimisha dereva zaidi ya kumfokea na kumpiga mikwara kwa lengo la kujipatia rushwa.

Madereva wetu wanahitaji kuelimishwa mara kwa mara wawapo barabarani sio tu kutoa adhabu.
Na pia serikali ikubali kuwa kuna maeneo mengi barabara hazikidhi mahitaji.
Barabara ziongezwe upana na idadi ya barabara za kutoka katikati ya majiji ziwe nyingi.
 
Hii sasa sifa khaaaa

Mabus yanaua zaidi ya alshababu we mwezi mmoja watu mia na
 
serikali haikutakiwa kusalimu amri kwa madereva na wenye mabasi krahisi .

Kova kusema "madereva hoyeee" ubungo amekosea sana!.

Hakupaswa kuwafagillia. Eti hakuna tochi tena kwamaderva/ mabasi wala...... Amefanya kisiasa zaidi

naisikitikia nchi yangu. Hili lawezekana tz tuu!

sikubaliani na ulichosema. Nafikiri ungeshauri kuwa serikali iunde tume ya wataalamu wachunguze vyanzo vya ajali na kwa nini imetokea mwaka huu wa uchaguzi na sio kipindi kingine chochote ungetoa ushauri wa busara sana.
 
Nisaidieni hii ni ajali ya leo tar.15/04/'15 au ya jana? Ni ipi taarifa sahihi ya waliopoteza maisha kati ya mmoja na wanane? Sasa hizi bus zisafiri chini ya askari mmoja mmoja wa jwtz na dereva kila akitaka kunywa maji afunguliwe chupa mpya na askari asije weka kiroba.Na awe chini ya usimamizi wake hata akiingia hotelini asijevuta bangi au kubwia madawa ya kulevya hadi mwisho wa safari.Gharama za askari zigharamiwe na tajiri wa gari. Ni pendekezo tu maana naona wapiga kura wanapunguzwa na hizi ajali.

Imetokea leo, nimepita hapo mida ya saa 6 kasoro, mimi nimeuliza waliopo kwenye tukio wamesema imeua mmoja!
Mimi naelekea Bukoba mida hii na private Car
 
sikubaliani na ulichosema. Nafikiri ungeshauri kuwa serikali iunde tume ya wataalamu wachunguze vyanzo vya ajali na kwa nini imetokea mwaka huu wa uchaguzi na sio kipindi kingine chochote ungetoa ushauri wa busara sana.




Hilo nalo neno.
Nakibaliana na wewe .
Pia waajiri wa madereva wawe makini kuajiri madereva .
Isije ikawa wanaajiri watu wenye mawazo na mafunzo ya kigaidi.Madereva wasiojali uhai wa watu wengine na uhai wao wenyewe.
Isije ikawa kuna hujuma za kigaidi na mbinu nyingine.Madereva wa malori na mabasi inabidi wachunguzwe tabia zao kuanzia walipotokea na wanapoishi.
 
Back
Top Bottom