Kwanini hayo mabasi yaasifungwe tracking devices ambazo zitaonyesha speed ya gari then traffic police wanakuwa na control center yao wanamonitor hayo magari dereva akizidisha wanaweza kumpigia simu kumpa onyo na endapo ataendelea na huo mchezo wanawasiliana na kituo cha polisi karibu na eneo gari linapoelekea dereva anabadilishwa na yule aliyekuwa na makosa anabaki hapo kusubiri kusomewa mashtaka.
![]()
Madereva wanavuta petrol wakati magari yao yanatumia diesel
hapo abiria wanashangilia. ukimkemea dereva basi zima wanakugeukia wewe mmoja! likipata ajali hapo watasema barabara nyebamba.....sasa kama barabara nyembamba kiherehere cha kwenda mwendokasi mnatoa wapi??!!!
Imefika wakati haya mabasi yafungwe ccctv camera ili trafiki wajue madereva wanaoendesha bila kufuata kanuni za usalama barabarani..
Kwanini hayo mabasi yaasifungwe tracking devices ambazo zitaonyesha speed ya gari then traffic police wanakuwa na control center yao wanamonitor hayo magari dereva akizidisha wanaweza kumpigia simu kumpa onyo na endapo ataendelea na huo mchezo wanawasiliana na kituo cha polisi karibu na eneo gari linapoelekea dereva anabadilishwa na yule aliyekuwa na makosa anabaki hapo kusubiri kusomewa mashtaka.