AJALI: Basi la kampuni ya Jordan lapata ajali na kuua

AJALI: Basi la kampuni ya Jordan lapata ajali na kuua

Serikali haikutakiwa kusalimu amri kwa madereva na wenye mabasi krahisi .

Kova kusema "Madereva Hoyeee" Ubungo amekosea sana!.

Hakupaswa kuwafagillia. Eti hakuna tochi tena kwamaderva/ mabasi wala...... Amefanya kisiasa zaidi

Naisikitikia nchi yangu. Hili lawezekana TZ tuu!

Hakuna uhusiano mkuu hata kama wangerudi darasani mapepo huwezi yazuia na vyeti ya darasani ni maombi tu yanatakiwa yafanyike. Kinachotokea ni attack za wachawi wanaotafuta damu na hawa huwezi kuwaona kwa cheti bali maombi ya kufunga na kukemea
 
Hapa dawa ni serikali kupiga marufuku kusafiri kwa mabasi mpaka uchaguzi upite raia wote wasafiri kwa miguu. Naona wamebanwa kwenye albino wamegeukia kwenye mabasi.
Kweli halo hakuna huruma tena kwa hawa wana siasa, mbona ukikaribia uchaguzi matukio yanazidi?
 
Mwenendo kasi, uzembe na ubovu wa magari ya kusafiria. Poleni wafiwa.
 
Tutashindwa kusafiri jamani madereva ongezeni umakini na kujua potential ya watu walioko kwenye mabasi angalieni wajane wangapi yatima wangapi na vilema ambao watakosa msaada na kuliongeza taifa kwenye umaskini
 
Naanza kumwelewa yule mkuu wa chuo cha usafirishaji wanaitaji mafunzo hawa madereva
 
Hakuna uhusiano mkuu hata kama wangerudi darasani mapepo huwezi yazuia na vyeti ya darasani ni maombi tu yanatakiwa yafanyike. Kinachotokea ni attack za wachawi wanaotafuta damu na hawa huwezi kuwaona kwa cheti bali maombi ya kufunga na kukemea

Another pathetic backward thinking
 
Hv hili swala la ajal limekosa ufumbuzi kabxa.???
Tangu huu mwaka uanze tumepoteza ndugu.,marafiki na jamaa weng kwasababu ya ajili za barabaran.
Mungu atusaidie jaman..
 
Hatari sana damu zinamwagika, huku ajali, kuhu al-shabaab, huku tena makanisa yachomwa, huku tena... huku tena jamaniiii
 
sikubaliani na ulichosema. Nafikiri ungeshauri kuwa serikali iunde tume ya wataalamu wachunguze vyanzo vya ajali na kwa nini imetokea mwaka huu wa uchaguzi na sio kipindi kingine chochote ungetoa ushauri wa busara sana.

Mambo ya Tume ni a kisiasa kukwepa lawama kwa taasisi husika.

Tafiti zimeshafanywa nyingi na ziko kwenye mashelfu.

Tunaweza kukopi au iga nchi nyingne zenye kufanana na zetu. No time for dublication of effort. Mere waste of public resources. Take Action.

Sheria z barabrni nazo zinatosha, tatizo ni usimamiaji / utekelzaji.

Taasisi ziko buzy na rushwa.
 
Kilichobaki ni itangazwe sheria ya kawia ufike, mabasi yaendeshwe speed isiyozidi 80 mwanzo hadi mwisho wa safari.
 
Duh, inasikitisha na kutisha haswaaa. Safari zimekuwa mtihani sasa, uhakika wa kufika salama ni mdogo mno. Mungu tunusuru na haya yanayotokea.
 
Where mola tusaidie waja wako mbona maana huh watz tutakwisha jamani
 
This is too much!! Madereva wa magari ya kusafirisha abiria wapimwe akili zao ili kuhakikisha kuwa hazina ulevi wakati wa kazi. Viongozi wa sekta hii changamkeni wananchi wamechoka.
 
hata wangemaliza watanzania wote , hatuta wapa kura ccm mmebanwa kwenye arubino sasa mmehamia kwa raiya wa kawaida
 
Back
Top Bottom