kwa jibu lako na michango ninayoisoma humu kumbe waliosema tanzania iko juu kwenye ushirikina hawakukosea.....mabasi yanaendeshwa na wavuta bangi wanywa viroba wendawazimu yanapata ajali mnasingizia kafara!!!!nendeni mkafanye matambiko au logeni muwashinde watoa kafara.
nasikia UCHAGUZI UCHAGUZI.....hivi uchaguzi una uhusiano gani na hizi ajali???
naona sasa inafaa haya mabasi yapigwe marufuku sasa inafaa mabasi aina ya fiat maana hayakimbii sana
Hivi Ikulu bado wanatoa pole? Au wameacha kwa sababu ajali zimeshazoeleka?
Too much! Utafikiri shetani anaishi TZ?
Hivi ina maana Tanzania tuache kusafiri kwa mabasi au??? Mungu rehemu roho za waliopoteza maisha katika ajali hii!!!
Nimepita eneo la tukio, mtu mmoja ndio amefariki papo hapo wengine majeruhi
Why ccm and not chadema cuf or act?
Wamebanwa kwenye Albino wamehamia kwenye mabasi....Uchaguzi utatumaliza..
Nisaidieni hii ni ajali ya leo tar.15/04/'15 au ya jana? Ni ipi taarifa sahihi ya waliopoteza maisha kati ya mmoja na wanane? Sasa hizi bus zisafiri chini ya askari mmoja mmoja wa jwtz na dereva kila akitaka kunywa maji afunguliwe chupa mpya na askari asije weka kiroba.Na awe chini ya usimamizi wake hata akiingia hotelini asijevuta bangi au kubwia madawa ya kulevya hadi mwisho wa safari.Gharama za askari zigharamiwe na tajiri wa gari. Ni pendekezo tu maana naona wapiga kura wanapunguzwa na hizi ajali.
huyo askari wako wa jwtz ndiyo atakuwa navigator?Nisaidieni hii ni ajali ya leo tar.15/04/'15 au ya jana? Ni ipi taarifa sahihi ya waliopoteza maisha kati ya mmoja na wanane? Sasa hizi bus zisafiri chini ya askari mmoja mmoja wa jwtz na dereva kila akitaka kunywa maji afunguliwe chupa mpya na askari asije weka kiroba.Na awe chini ya usimamizi wake hata akiingia hotelini asijevuta bangi au kubwia madawa ya kulevya hadi mwisho wa safari.Gharama za askari zigharamiwe na tajiri wa gari. Ni pendekezo tu maana naona wapiga kura wanapunguzwa na hizi ajali.
Mungu ajali sasa basiiii. Tusameheeee.