chipolopolo 2
JF-Expert Member
- Nov 10, 2014
- 3,292
- 1,841
Polen sana wafiwa na majeruhi naomba mungu awaponye
Inawezekana madereva wengi wana ubongo sawa na wa mnyama Nyumbu. Namna ya uendeshaji na matokeo ya uendeshaji huo karibu yote yanaelekea. Itakuwa namna ya kuwaza na kuhitimisja/kutenda inafanana.
Suluhisho ni ushauri nasaha na mafundisho ili na wao wawaze na kuhitimisha sawa na binadam mwenye utashi wa kutambua uhusiano uliopo Kati yake na mazingira anayoyaishi na kuendesha maisha yake wakati wote.
Eneo hili nalijua maana mimi mwenyewe nishakuwa muhanga.Kuna kona kali sana na mbaya zaidi hakuna kibao kinachoonesha kuwa mbele kuna kona kali na barabara ni nzuri sana inashawishi kuzidi kuchochea spidi.Mara nyingi mabasi huwa yanapinduka eneo lile kutokana na madereva kushindwa ku-control gari.Basi la kampuni ya Jordan lenye namba za usajili T650 AQZ, linalofanya safari zake kati ya Mwanza na Moshi limepata ajali maeneo ya Kitangiri, Nzega.Mpaka sasa mtu mmoja amepoteza maisha baada ya kulaliwa na basi hilo.
Basi hilo lililokuwa likitokea Mwanza kwenda Arusha, linaelezwa kuwa lilipinduka baada ya kumshinda dereva katika eneo lenye kona kali.
''Kutokana na ajali za barabarani ambazo watawala kama vile wameshindwa kusimamia au kuchukua hatua za dharura kunusuru maisha ya watu ambayo yanapotea kila siku;Ningekuwa kiongozi ningesema haya yafuatayo:Basi la kampuni ya Jordan limepinduka na kuua watu 8 Kilometa 6 kutoka mji wa Nzega.
Lilikuwa likitokea Mwanza kwenda Moshi.
dah tatizo nn dah harafu tochi ndo ivyo zimevutwa kila kitu siasa tu dah noma sana sheria za barabarani dah mwendo kasi dah madereva na pombe dah wanachoka sana dah hawana mda wa kupumzika dah wakipumzika wanaenda baa dah kesho wanaanza safari dah rushwa je dah barabara mbovu dah magari yanakaguliwa je dar service kabla ya kuondoka dar MUNGU TUSAIDIE
sheria aina macho wanayoiongoza vipofu
Inawezekana madereva wengi wana ubongo sawa na wa mnyama Nyumbu. Namna ya uendeshaji na matokeo ya uendeshaji huo karibu yote yanaelekea. Itakuwa namna ya kuwaza na kuhitimisja/kutenda inafanana.
Suluhisho ni ushauri nasaha na mafundisho ili na wao wawaze na kuhitimisha sawa na binadam mwenye utashi wa kutambua uhusiano uliopo Kati yake na mazingira anayoyaishi na kuendesha maisha yake wakati wote.
Hapa dawa ni serikali kupiga marufuku kusafiri kwa mabasi mpaka uchaguzi upite raia wote wasafiri kwa miguu. Naona wamebanwa kwenye albino wamegeukia kwenye mabasi.