AJALI: Basi la kampuni ya Jordan lapata ajali na kuua

AJALI: Basi la kampuni ya Jordan lapata ajali na kuua

Jamani jamani madereva kuweni makini jamani ,mbona mnatumaliza jamani mnakuwa kama mmetumwa,Jamani tuwe tunasali tunapo safiri ili Mungu atuepushe
 
Daa hivi nitasafiri kweli mwaka huu?Mungu saidia waja wako.
 
Jamani MUNGU atusaidie maana hizi ajali sio bure, kuna sehemu binadamu tumekosea.
 
Mpaka huu uchaguzi upite TANZANIA yote itakuwa misiba ya ajari kila koo. Imetosha Mungu atusaidie
 
Huu sio uchaguzi kweli? Mbona inakuwa hivi? Haiwezekani kama ni makosa ya madereva kila siku, sawa wana part in this but there must a weird thing that is going on under the carpet. HATARI!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!??????????????????????????????????????????????????
 
nasikia UCHAGUZI UCHAGUZI.....hivi uchaguzi una uhusiano gani na hizi ajali???
 
dah! hali ni mbaya sana kwakweli,,yani juzi,jana na leo mfululizo

kuna na hii ya gari ndogo na semi,,wa kwenye gari ndogo walikuwa wawili wote wamekufa
 

Attachments

  • 1429111665671.jpg
    1429111665671.jpg
    100.2 KB · Views: 394
jamanii kama naona MTU hana mkono hapo kweny ajali..Mh sasa imetosha..hatakama amekufa mmoja tu ss hao ambao wamesababishiwa ulemavu Wa maisha..hii ss imezidi
 
Mkuu, kufunga hii kitu watakwambia ni ghali japo pia ni kwa faida yao wenyewe. Kufunga hii kitu kwa gari moja ni kama $750 japo subscription kwa mwaka $300 hivi lakini somo halitaeleweka kwao.

kwa faida yao wenyewe. Unamaanisha nani mmiliki wa basi au? Anayepata ajali ni msafiri mmiliki hapati hasara kumbuka, sema tuwe tayari na ongezeko la nauli tusiwe wakali maana ghalama za uendeshaji zitakua zimepanda, hakuna biashara ya hasara
 
naona sasa inafaa haya mabasi yapigwe marufuku sasa inafaa mabasi aina ya fiat maana hayakimbii sana
 
Sipandi basi mpaka uchaguzi upite!

Hapo umenena mdau watu tulipiga sana kelele kuhusu albino naona wameamua kutufuata huku na sie sijui nani atatupigia kelele Mungu ndie mtoa hukumu na malipo ni hapahapa duniani.
 
Wote waliopewa dhamana serikalini kusimamia masuala ya usafiri wameshindwa kazi na inabidi wapishe hivyo viti vyao. Lakini la muhimu kabisa ni mkuu wa nchi, JK, ni mzembe na hajali wananchi wake kwani haiwezekani kila kukicha ajali halafu yupo kimya? Au JK amekuwa incapacitated? Mbona katiba hiko wazi kuwa kama hajiwezi tena inabidi cabinet of ministers ifuate taratibu za kikatiba za kumwondoa!!
 
Jamani hizi ajali vipi? Mbona hazituachi.......!!!
 
majanga sasa.....itabidi mabasi yafungiwe blackbox kama ndege ili tuelewe tatizo ni nini. yaani siku hizi kila niamkapo asubuhi huwa najiuliza leo itakuwa na afadhali kuliko jana au ndo kabisa ndo majanga afadhali ya jana.
 
Bakia na mtazamo wako ila ipo siku utatambua kilichopo nyuma ya pazia.

kwa jibu lako na michango ninayoisoma humu kumbe waliosema tanzania iko juu kwenye ushirikina hawakukosea.....mabasi yanaendeshwa na wavuta bangi wanywa viroba wendawazimu yanapata ajali mnasingizia kafara!!!!nendeni mkafanye matambiko au logeni muwashinde watoa kafara.
 
Back
Top Bottom