Airtel na kifo cha Sharo Milionea

Airtel na kifo cha Sharo Milionea

Mbona bango la kanumba liliendelea kuwepo pale nje ya ofisi za star times?? Nadhani huwa wanangoja mikataba iishe!
 
Usikute the contract is silent on the death of the concerned part whether to stop the Ad incase any of the people involved dies or to continue airing it
 
Mie mwenyewe nilistuka sana nilipoliona hilo Tangazo! Kwa mtazamo wangu hii siyo sawa.........

Jamani,mie nadhani sio tatizo,mbona Mwl.Nyerere hotuba zake huwekwa kila mara lakini hatulalamiki?
 
Mwacheni marehem aendelee kuuza sura mbona nyerere wanamwonyesha mpaka leo.
 
Mwacheni marehem aendelee kuuza sura mbona nyerere wanamwonyesha mpaka leo.
 
Mie mwenyewe nilistuka sana nilipoliona hilo Tangazo! Kwa mtazamo wangu hii siyo sawa.........

Hakuna kosa wala tatizo lolote,so far beneficiaries wanapata mafao! na anayeangaliwa sio Mareheu Hussein bali ni"Sharo" ambaye ameigiza tu!
 
mkuu ingawa nilisoma Law kwa kubeep lakini nakumbuka kitu kama hiko hapo kwenye red.... wanasheria wanaweza kutusaidia hapa

nikipata muda wa kupitia makaratasi ya sheria za mikataba ntakueleza kwa uelewa mchache hcho kpengele dada.
 
Wasipotuonyesha kazi zake tutamuenzi vipi sharo, mimi nadhani waongeze muda wa kurusha hilo tangazo maradufu, hawajabugi meeeeeeeeeeeeen!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Niwajlize swali?
Msanii wa mziki akifa mziki wake usipigwe kisa utaleta machungu kwa mashabiki wake?
Wenye akili watanielewa
 
sioni tatizo,kwanza nina uhakika kuna maongezi yameshafanyika btn airtel na familia ya marehemu kwa kipindi hcho ambacho tangazo lilikuwa limesitishwa,familia itakuwa inanufaika.
kuhusu contract kipindi kile cha msiba niliwahi kumsikia mzee majuto akisema yeye na sharo walikuwa na kampuni yao ambayo walikuwa wawili tu (sina uhakika kama waliisajili kweli ikawa kampuni) ambayo anasema waliingia mikataba na hao airtel na azam,kama ni kweli kuhusu hiyo kaampuni it means airtel waliingia mkataba na kampuni not individual partner,kampuni haifi kwa member mmojawapo kufarik so the contract is still valid.
kama waliingia mkataba na sharo kama sharo bas kifo kilimaliza huo mkataba,kutakuwa kuna maridhiano yamefanyika mpaka tunaliona tena (mtazamo wangu)
 
sioni tatizo,kwanza nina uhakika kuna maongezi yameshafanyika btn airtel na familia ya marehemu kwa kipindi hcho ambacho tangazo lilikuwa limesitishwa,familia itakuwa inanufaika.
kuhusu contract kipindi kile cha msiba niliwahi kumsikia mzee majuto akisema yeye na sharo walikuwa na kampuni yao ambayo walikuwa wawili tu (sina uhakika kama waliisajili kweli ikawa kampuni) ambayo anasema waliingia mikataba na hao airtel na azam,kama ni kweli kuhusu hiyo kaampuni it means airtel waliingia mkataba na kampuni not individual partner,kampuni haifi kwa member mmojawapo kufarik so the contract is still valid.
kama waliingia mkataba na sharo kama sharo bas kifo kilimaliza huo mkataba,kutakuwa kuna maridhiano yamefanyika mpaka tunaliona tena (mtazamo wangu)

Asante kwa ufafanuzi!!!
 
Wako sawa kabisa...kama walisainishana mkataba ba dogo akavuta salio lake lazimna kazi ifanyike mpakamkataba utakapofika mwisho.Sioni tatizo!
 
Niwajlize swali?
Msanii wa mziki akifa mziki wake usipigwe kisa utaleta machungu kwa mashabiki wake?
Wenye akili watanielewa

Mkuu niliuliza swali.... sasa na wewe unaniuliza swali?? Ni kiasi cha kunijibu tu kwani kuuliza sio ujinga. young prof kajibu vyema....
 
Last edited by a moderator:
Hii inanikumbusha mpangaji wangu alipofariki. Nilipoenda kuchukua funguo zangu nikamkuta shoga yake,kumuuliza kulikoni,eti anamalizia kodi ya shoga yake. Nilimtoaje baru?
Nikamweleza hilo halikuwa katika mkataba,labda ningekuta wanae at least,na nikamwuliza kama yuko tayari kulipa madeni ya umeme na maji aliyolimbikiza wakati anaumwa... Akang'aa macho!
 
Kifo hadi kwenye mabenki ndiyo kigezo pekee cha kuvunja mkataba.
Unless iwe stated otherwise kwenye mkataba.
 
Watu makelele mengi kama hamjaenda shule! kuna mtu anaejua mkataba kati ya sharo na airtel ulikuwa na maudhui gani? labda walikubaliana tangazo litumike kwa idadi ya siku kadhaa ambazo hazijaisha bado na iwapo aliyeshiriki tangazo akitaka lisitishwe kabla ya siku hizo itabidi ailipe kampuni kiasi fulani cha fedha au pengine mshiriki tangazo akishalipwa fedha yake tangazo linakuwa mali ya kampuni na anaweza kulitumia atakavyo! watu acheni kupiga kelele kama hamjui maudhui ya mkataba yalikuwaje!
 
charminglady

Labda ikiwa kama mkataba wa sharo na airtel ulikuwa na kipengele kinachosema 'nitakapokufa mtaacha kuonesha matangazo niliyofanya...'..matangazo yataendelea kuruka kama kawaida..biashara ni biashara,,na utu ni kitu kingine.

Leo jioni mjomba wa marehemu alihojiwa akasema familia imekubali tangazo liendelee kwani mkataba unaendelea mpaka Dec 31 pia wameangalia issue ya mzee Majuto ambae bado yupo hai

Source: Millard Ayo Clouds radio
 
Si kwamba Airtel ife bali wasitishe lile tangazo... mbona Zantel walisitisha tangazo la Kanumba???

Kwahiyo Zantel ndio mwalimu wa sheria?

Mi sioni tatizo lolote. Mwishowe mtataka tusipigiwe miziki ya Bob Marley na Michael Jackson.
 
Back
Top Bottom