Airtel na kifo cha Sharo Milionea

Airtel na kifo cha Sharo Milionea

Kuna ubaya gani? In fact wasipolirusha tangazo umaarufu wake na legacy yake sharo itakufa ama kupotea kabisa...ni bora liendelee kuchezwa tu. Kwani ni tangazo la kumdhalilisha marehemu? Kesho na kesho kutwa baadhi watasema si vyema kuoneshwa kwa sinema zake...ina maana akifa msanii na kazi zake zife? Legacy yake ni nini sasa?
 
Kwahiyo Zantel ndio mwalimu wa sheria?

Mi sioni tatizo lolote. Mwishowe mtataka tusipigiwe miziki ya Bob Marley na Michael Jackson.

we kidonge ushapitwa na wakati tulia hukooooo!!"!!
 
Tatizo la wabongo..... Nimeuliza swali kinachotakiwa ni jibu pamoja na ufafanuzi ili wengine tusioelewa tupate kuelewa. Sasa unakuja na povu ili iweje????????? UALIMU KAZI KWELI KWELI
 
Kuna obligations of parties to contract pia, we unajuaje kama alishalipwa

Section 37(2) LCA promises bind the representatives of the promisor in the case of the death of such promisor before performance, unless a contrary intention appears from the contrat.

Kama nimekosea nirekebishwe
 
Of course Airtel wako right 100%, kwani mtu akifa ndio na kazi zake zimekufa? mbona filamu za Sharo Millionea bado zinauzwa na kuna moja inazinduliwa soon, itakuwa tangazo la biashara ambalo nayo ni kazi yake! cha muhimu ni kuwa pato litakalo patikana kwa mauzo ya kazi za marehemu wapewe ndugu zake na sio kuliwa na wajanja.
Sioni tatizo la kuonyeshwa kwa tangazo hilo ama vipi basi nyimbo za watu waliofariki kama 2pac, Pepe Kalle, Bob Marley nk. u movie za kina marehemu Kanumba zisioneshwa tena kitu ambaco hakiwezekani. Tuache mambo ya stone age bandugu.
 
Tatizo Sio Kurusha Tangazo Je Familia Yake Sharo Inafaidika Vpi Na Hilo
 
Mi sidhani kama kuna tatizo kwenye kuonyesha,ila kwa Kanumba alicheza tangazo la startimes baada ya kifo sijaliona tena au mkataba uliisha?
 
Tatizo la wabongo..... Nimeuliza swali kinachotakiwa ni jibu pamoja na ufafanuzi ili wengine tusioelewa tupate kuelewa. Sasa unakuja na povu ili iweje????????? UALIMU KAZI KWELI KWELI

Usijali Dada,tuzoee tu!
 
Nadhani watanzania,bado wanaelimu ndogo juu ya masuala ya mikataba!
Yule alikuwa amesaini contract,tangazo lazma liendelee,mpaka pale litakapotengezwa jingine,for replaced!
 
Sion tatizo, tangazo lirushwe mpaka mkataba utakapoisha. Cha msingi, Familia ifuatilie hak za marehem, kama kuna alichobakiza kwenye mkataba h
 
"Your honourable" Unaweza kufafanua???[/QUOTE


Kitendo cha kuhuzunika,kuweweseka kwa jamii kwa kuwa eti tangazo la sharobaro limeoneshwa baada ya kifo,si mtazamo wa kisheria,ni mtazamo wa kimaadili zaidi.Hata kama mkataba ulikuwa unameforesee(umetazamia) uwepo wa kifo,tangazo kama tangazo haliwezi kuzuia running of the contract.Performance ya mkataba,kwa muktadha wa tangazo hilo,haliihitaji uhai(uwepo)wa Sharobaro,Sharobaro alishaingia mkataba na mategemeo yake ni performance kwa kulingana na inteded duration.Frustration(uwepo wa tukio lisilotegemewa),inaweza kuwa sababu kwa mambo yale au kazi zile tu Airtel na Sharobalo walitegemea au walikuwa wanaendelea kuzifanya(ambazo kwazo zilikuwa hazijakamilika).Hata hivyo,bado kuna changamoto kwa wasanii wengi wa kibongo kutofahamu haki zao za msingi,inawezekana hata familia yake au meneja wa marehemu hana uelewa kuhusu mkataba wa tangazo hiklo
 
Back
Top Bottom