kiben10 wa mama wa bwana harusi.Shamte alienda Kama Nani?
Sio wezi tu hiyo 4G yao tu miyeyusho badala ya kujikita katika kuboresha wanaleta kiki, kitu kizuri Tanzania watu watakuja tu na Tanzania hapa watu wao wanatizama bei kwanza kabla ya ubora jikite huko halafu Tangaza. Mimi niliwahi kuwa mteja wa muda mrefu wa Airtel miaka ya nyuma na sababu ilikuwa wengi katika family tuko huko lakini na miaka kama 3 nimetoka huko sababu ya Net yao sio speed.Aitel wezi wa bando
🤣🤣🤣🤣🤣 Jana watu walipigwa na kitu kizitoNdoa njema kwake diamond
Hivi kweli kuna mtu alikuwa anaamini anachosema?Baadhi ya wabongo wanapenda sana umbeya,wamechukia sababu tu walilokuwa wakilitarajia hawajaliona na Mondi naye akaona fursa akapita nalo hivyo hivyo kutengeneza pesa.
Mkwe wa kambo wa AirtelShamte alienda Kama Nani?
Diamond mpuuzi Sana..nilikereka mno🤣🤣🤣🤣🤣 Jana watu walipigwa na kitu kizito
Inategemea na location uliyopo.Dakika na mb wanakupa za kutosha, mtandao unatafuta mwenywe
Lengo la kiki yao limefanikiwa 100% na nahisi uwa wanawatumia watu wa ndani pia kuvujisha taarifa za siri fake kwa watu kama akina soud brown wazitoe wakiamini kweli kumbe fake.Baadhi ya wabongo wanapenda sana umbeya,wamechukia sababu tu walilokuwa wakilitarajia hawajaliona na Mondi naye akaona fursa akapita nalo hivyo hivyo kutengeneza pesa.
Wapo tena wengi,baadhi ya wabongo tunapenda umbeya na kiki,so jamaa audience kaigeuza kuwa hela.Hivi kweli kuna mtu alikuwa anaamini anachosema?