Airtel "Imeolewa" na Diamond - lakini Je, huduma zimeboreshwa?

Hawa Airtel bado hawapo serious na biashara.
Leo nimecheka sana kwa majibu niliyopewa na dada wa huduma kwa wateja.

Ilikua hivi juzi jumamosi kabla ya game ya Liver na City nilinunua kifurushi cha 3000 kwa Airtel Money, wakakata pesa na kifurushi sijapewa ikabidi niwaendee hewani wakasema kuna matatizo ya kiufundi kidogo nikaona sio tabu ikabidi ninunue kifurushi Voda ili nicheki game siku ikaisha.

Sasa imefika jana jumapili ikawa bado sijapewa kifurushi changu ikabidi niwaendee hewani tena ndipo nikakutana na majibu ya kuchekesha. Customer care wanasema kitengo kinachohusika hakifanyi kazi sababu ya sikukuu so hawapo kazini toka ijumaa kuu, jumamosi, jumapili na hawatokuepo kazini hadi siku ya jumanne sikukuu zitakapokuwa zimeisha. Ikabidi niishie kucheka tu na kukata simu.

Sasa kwa kampuni kama airtel ni wa kufanya upuuzi kama huu??? Je ni subscribers wangapi tuliopata shida kama hii??? Wanapoteza hela kufanya marketing ya huduma zao na wakati huduma zenyewe mbovu. Mimi wamenifanya nirudi Vodacom maana sikutumia muda mrefu na baada ya kujiunga jana nimeona kumbe walikua wananipiga tu maana kwa gharama niliyokuwa natumia kule walikua wananipa Data peke yake wakati kwa gharama ile ile huku Voda napata Data, SMS na Dakika. Na kwa upande wa internet inajulikana Voda hana mpinzani.

Waboreshe huduma zao kama wanataka wateja wa kudumu.
 
Hawa Airtel bado hawapo serious na biashara.
Leo nimecheka sana kwa majibu niliyopewa na dada wa huduma kwa wateja.

Ilikua hivi juzi jumamosi kabla ya game ya Liver na City nilinunua kifurushi cha 3000 kwa Airtel Money, wakakata pesa na kifurushi sijapewa ikabidi niwaendee hewani wakasema kuna matatizo ya kiufundi kidogo nikaona sio tabu ikabidi ninunue kifurushi Voda ili nicheki game siku ikaisha.

Sasa imefika jana jumapili ikawa bado sijapewa kifurushi changu ikabidi niwaendee hewani tena ndipo nikakutana na majibu ya kuchekesha. Customer care wanasema kitengo kinachohusika hakifanyi kazi sababu ya sikukuu so hawapo kazini toka ijumaa kuu, jumamosi, jumapili na hawatokuepo kazini hadi siku ya jumanne sikukuu zitakapokuwa zimeisha. Ikabidi niishie kucheka tu na kukata simu.

Sasa kwa kampuni kama airtel ni wa kufanya upuuzi kama huu??? Je ni subscribers wangapi tuliopata shida kama hii??? Wanapoteza hela kufanya marketing ya huduma zao na wakati huduma zenyewe mbovu. Mimi wamenifanya nirudi Vodacom maana sikutumia muda mrefu na baada ya kujiunga jana nimeona kumbe walikua wananipiga tu maana kwa gharama niliyokuwa natumia kule walikua wananipa Data peke yake wakati kwa gharama ile ile huku Voda napata Data, SMS na Dakika. Na kwa upande wa internet inajulikana Voda hana mpinzani.

Waboreshe huduma zao kama wanataka wateja wa kudumu.
Kwamba wapo wanasherehekea kufa na kufufuka kwa mwokozi; kwahiyo shida yako itashughulikiwa wakimaliza sherehe! Hahahahahh.... inatia hasira.
 
Kwamba wapo wanasherehekea kufa na kufufuka kwa mwokozi; kwahiyo shida yako itashughulikiwa wakimaliza sherehe! Hahahahahh.... inatia hasira.
Yani nimecheka hadi nikaamue nikate simu tu, yule dada maskini anavyoipenda kazi yake ameniomba msamaha mara tano kwa kurudia rudia utadhani kampuni ya baba yake kumbe upumbavu wa management.

Sasa ebu pata picha amewaomba msamaha wateja wangapi kwa siku ya leo. Ha ha ha ha ha ha..!!
 
Huo mtandao sitaki hata kuusikia. Nauchukia kuliko na nikishachukia kitu there's nothing can be done to revive my love.

Kwanza wezi halafu wanatoa vifurushi vichache kwa bei kubwa. Mbwa kabisa
Aisee naichukia voda kwa internent
 
Mond kwa sasa ubunifu unaanza kumukimbia au kunavitu havikosawa mfano hilitangazo lake na airtel ana agiza apigiwe kinanda mala atest nini, lilisha fanywa miaka miwili nyuma nayule mchekeshaji shijui in ochu kamasijakosea alikua ana chukua vipande vya wasanii kweye nyimbo zao anaingizia vimaneno Luna muda Ali sema hivi kwenye hicho kionjo ehee na wee unataka nini akaplay ngima ya jux inamistari INA sema anataka vinanda vya bob.uzuri wa mond ni ana fun Base kubwa
 
Mond kwa sasa ubunifu unaanza kumukimbia au kunavitu havikosawa mfano hilitangazo lake na airtel ana agiza apigiwe kinanda mala atest nini, lilisha fanywa miaka miwili nyuma nayule mchekeshaji shijui in ochu kamasijakosea alikua ana chukua vipande vya wasanii kweye nyimbo zao anaingizia vimaneno Luna muda Ali sema hivi kwenye hicho kionjo ehee na wee unataka nini akaplay ngima ya jux inamistari INA sema anataka vinanda vya bob.uzuri wa mond ni ana fun Base kubwa
zote hizo ni chuki ? kuwa Ochu ndo wakwanza kusema apigiwe kinanda ?
 
Back
Top Bottom