Aibu tupu!! Vyuo vya Tanzania mtu anasoma masomo ya biashara miaka mitatu na kulipa almost milioni 5 lakini hajui hata kufungua biashara

Uncle bright

JF-Expert Member
Feb 9, 2023
1,040
4,080
Yani hawa wahitimu wakitaka kuanza biashara unaweza kudhani hata hawakufika chuo, Unakuta mhitimu ana Diploma au Degree ya Business Administraion au Business Management lakini hawezi kufanya haya mambo ya kawaida, inabidi aelekezwe huko kwenye stationery tena wakati fulani anaelekezwa na mtu ambaye wala hajafika level yako ya elimu.

Mhitimu anamaliza chuo hana Tin Namba inayotolewa bure kabisa.

Mhitimu anamaliza chuo hana habari na Brela, na hata akiambiwa inabidi kwanza asajili jina la biashara, hawezi kujisajili mwenyewe, inabidi aende stationery alipe hela asaidiwe.

Mhitimu anamaliza chuo hawezi kujiombea leseni ya biashara hadi ashikwe mkono, wengi hata Mfumo wa Tausi wa kuomba leseni online hawaujui, inabidi waende stationery walipe hela wasaidiwe.

Mhitimu anaenda TRA kichwa kichwa kuomba kusajiliwa biashara bila mkataba wa frem, ni kwamba hakufundishwa inabidi afike huko aambiwe arudi kuufata

Mhitimu anamaliza chuo hajui process za kuipata tax clearance, inabidi aanze kuulizia kwa wengine ama asaidiwe na vishoka.

Mhitimu anamaliza chuo kafunzwa vipimo vya kodi vya 2004

Mwalimu wa chuoni wa ujasiriamali anategemea mshahara ku survive ama ana kaduka ka sidiria kuzugia kwamba ni mjasiriamali.
 
Mhitimu anamaliza chuo hajui kuomba kibali cha Brela
Mhitimu anamaliza chuo hana Tin Namba
Mhitimu anamaliza chuo kafunzwa somo la kodi kwa sheria za 2004
Mhitimu anamaliza chuo hajui Tax Clearance ipoje
Mhitimu anamaliza chuo hajui Mfumo wa Tausi wa kuomba leseni ya Biashara

Mwalimu wa chuoni wa ujasiriamali anategemea mshahara ku survive ama ana kaduka ka sidiria kuzugia kwamba ni mjasiriamali.
Ndio nashangaa aisee ni weupe
 
Yani hawa wahitimu wakitaka kuanza biashara unaweza kudhani hata hawakufika chuo, hawajui process za kufungua biashara hadi wafundishwe na wafanyabiashara,

Mhitimu anamaliza chuo hajui kuomba kibali cha Brela
Mhitimu anamaliza chuo hana Tin Namba
Mhitimu anamaliza chuo hajui Tax Clearance ipoje
Mhitimu anamaliza chuo hajui Mfumo wa Tausi wa kuomba leseni ya Biashara
Mhitimu anamaliza chuo kafunzwa vipimo vya kodi vya 2004

Mwalimu wa chuoni wa ujasiriamali anategemea mshahara ku survive ama ana kaduka ka sidiria kuzugia kwamba ni mjasiriamali.
who is to blame for that? a student or a teacher for imparting wrong knowledge to the student!
 
who is to blame for that? a student or a teacher for imparting wrong knowledge to the student!

who is to blame for that? a student or a teacher for imparting wrong knowledge to the student!
Policy makers, teachers wanafu dishwa kilichopangwa, student wanapokea, but policy makers and wanaotungs syllabus ndio wanaamua knowledge gani inafaa kwa kukudhi mahitaji. Kama hao wakideli all wamefeli. Failure ya education nchi hii inaanzia mbali
 
Ukienda na akili za elimu hii ya bongo kwenye biashara unadondokea uso, lazima uwe na kombinesheni ya elimu ya kitaa na ya darasani, elimu ya darasani pekee kwa hapa bongo kwenye biashara haitoshi
 
Ukweli mtupu mkuu yaani unasomea kitu fulani na maarifa unayo lkn ukija kwenye application ya kile ulichosomea kwenye ground inabidi uelekezwe tena wakati fulani tena na mtu ambaye wala hajafika level yako ya elimu sijui huwa tunasoma ili iweje
 
Hapo shida iko hapa:

1. Wizara ya elimu na mitaala yake; Mwanafunzi anafundishwa vitu ambavyo kimsingi havita msaidia kwenye maisha yake baadae. Mimi binafsi nimesomea biashara lakini mambo mengi ya msingi, nilijifunzia mtaani.

2. Wanafunzi wa sikuizi hawajiongezi, ni wazito kujifunza vitu wenyewe kwa kujaribu jaribu, na pia hawako resourceful, hawajiongezi kutafuta info mitandaoni na mitaani za kuwasaidia kufanya yale wanayotamani kuyafanya, wao wako bize kulalamika tu.

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
kikubwa kinachoshangaza nikuwa, mtu alieishia la saba au form iv confidence yake ni kubwa sana anapokua amejitosa kwenye boashara, hawa walitoka chuo confidence yake ni low kupindukia, hawachelewi kufunga biashara wakaanza kuranda na vyeti kwenye bahasha.
 
Yani hawa wahitimu wakitaka kuanza biashara unaweza kudhani hata hawakufika chuo, hawajui process za kufungua biashara hadi wafundishwe na wafanyabiashara,

Mhitimu anamaliza chuo hana Tin Namba inayotolewa bure kabisa.

Mhitimu anamaliza chuo hana habari na Brela, na hata akiambiwa inabidi kwanza asajili jina la biashara, hawezi kujisajili mwenyewe, inabidi aende stationery alipe hela asaidiwe.

Mhitimu anamaliza chuo hawezi kujiombea leseni ya biashara hadi ashikwe mkono, wengi hata Mfumo wa Tausi wa kuomba leseni online hawaujui, inabidi waende stationery walipe hela wasaidiwe.

Mhitimu anamaliza chuo hajui process za kuipata tax clearance, inabidi aanze kuulizia kwa wengine ama asaidiwe na vishoka.

Mhitimu anamaliza chuo kafunzwa vipimo vya kodi vya 2004

Mwalimu wa chuoni wa ujasiriamali anategemea mshahara ku survive ama ana kaduka ka sidiria kuzugia kwamba ni mjasiriamali.
Kweli kabisa kabisa...
Kuna tatizo pale...
WATATUSIKIA?!
 
Back
Top Bottom