Sasa na wewe mkuu kwa nini unatumia bandiko la mtu bila kufanya acknowledgement? Haya maneno si kayaandika Mh. Jacob! Hivi JF inaruhusu hili?Nashindwa kuamini kabisa kuwa hii ndio chuki iliyopo katika siasa zetu.
Hapa ni Ofisi za Meya wa Jiji Karimujee hall Wamewaka Picha za Mameya wote Kabla ya Tanganyika Kupata Uhuru na baada ya Uhuru, Mpaka Meya huyu wa Sasa. Wanatambua Mameya wa Kizungu na Kihindi ila Wamegoma Kutambua Meya wa Chadema 2016 to 2020 Nchi hii inanuka Chuki na Ubaguzi
hasingiziwi chochote huyo mfu wenu kila kitu kiko wazi kwenye hotuba zake za kiinterahamweAsisingiziwe kwenye hili.
Usijali mkuu.......Nashindwa kuamini kabisa kuwa hii ndio chuki iliyopo katika siasa zetu.
Hapa ni Ofisi za Meya wa Jiji Karimujee hall Wamewaka Picha za Mameya wote Kabla ya Tanganyika Kupata Uhuru na baada ya Uhuru, Mpaka Meya huyu wa Sasa. Wanatambua Mameya wa Kizungu na Kihindi ila Wamegoma Kutambua Meya wa Chadema 2016 to 2020 Nchi hii inanuka Chuki na Ubaguzi
It's a year now tangu mzee wa watu afariki. Ninaamini sasa hivi watu mnalamba asali. So definitely picha hiyo aliyezuwia isiwepo sasa hayupo. Au wanaogopa wakiiweka atafufuka?yaani wameweka picha za wahindi na wazungu wakasahau picha ya nyani-ulaya mwenzetu kweli limagufool lilikokuwa likiipeleka nchi linajua lenyewe
Hee..Nini tena? wakati Kwa mujibu wenu mbaguzi na mchukia chadema magufuli ameshafariki.Nashindwa kuamini kabisa kuwa hii ndio chuki iliyopo katika siasa zetu.
Hapa ni Ofisi za Meya wa Jiji Karimujee hall Wamewaka Picha za Mameya wote Kabla ya Tanganyika Kupata Uhuru na baada ya Uhuru, Mpaka Meya huyu wa Sasa. Wanatambua Mameya wa Kizungu na Kihindi ila Wamegoma Kutambua Meya wa Chadema 2016 to 2020 Nchi hii inanuka Chuki na Ubaguzi
2016 - 2020 nani alikuwa Meya wa Jiji ya Dar.?Chadema wanapenda kulialia sana lini huyo amewahi kuwa meya wa Jiji?