kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 6,573
- 12,672
Hakuna tusi hapoMods, haya matusi ya wazi. Ban mnazomwaga kama njugu impitie huyu kichaa.
Hakuna tusi hapoMods, haya matusi ya wazi. Ban mnazomwaga kama njugu impitie huyu kichaa.
yeye ndie muasisi wa siasa za kuiuadui bwana kyagata aka mkurya mweupeMagufuli hivi bado yupo duniani hadi useme hivyo as if yeye ndiyo kawapa hiyo order.
Magufuli hivi bado yupo duniani hadi useme hivyo as if yeye ndiyo kawapa hiyo order.
mi huwa nawaambia watu sisi waafrica bado tupo kwenye process za human evolution kuelekea kuwa binadamu kamili. Binadamu kamili hawezi kufanya haya.Msilaumu sana. Waafrika hasa Watanzania bado tunaevolve kuwa binadamu kamili
Uhuni tu huu. Kwanini hakuna picha ya meya wa Chadema? Kama walijisahau warekebishe haraka.
Mpuuzi na hujui.Chadema wanapenda kulialia sana lini huyo amewahi kuwa meya wa Jiji?
Bado wanaongozwa na sera za kinyama za jizi, katili na kiuaji MagufuliNashindwa kuamini kabisa kuwa hii ndio chuki iliyopo katika siasa zetu.
Hapa ni Ofisi za Meya wa Jiji Karimujee hall Wamewaka Picha za Mameya wote Kabla ya Tanganyika Kupata Uhuru na baada ya Uhuru, Mpaka Meya huyu wa Sasa. Wanatambua Mameya wa Kizungu na Kihindi ila Wamegoma Kutambua Meya wa Chadema 2016 to 2020 Nchi hii inanuka Chuki na Ubaguzi
Ccm mna mambo ya kipuuzi sanaChadema wanapenda kulialia sana lini huyo amewahi kuwa meya wa Jiji?
Hawa wewe una chuki ya kipuuzi jpm kashajifia sasa kama ni utawala mnaoupenda wa awamu ya 6 mbona huyo meya utawala huu pendwa mbona haujaweka picha yake?yaani wameweka picha za wahindi na wazungu wakasahau picha ya nyani-ulaya mwenzetu kweli limagufool lilikokuwa likiipeleka nchi linajua lenyewe
ULIKUWA HUJAZALIWAChadema wanapenda kulialia sana lini huyo amewahi kuwa meya wa Jiji?
Kijani ni mashetani weusi..roho mbaya imewajaaa.Nashindwa kuamini kabisa kuwa hii ndio chuki iliyopo katika siasa zetu.
Hapa ni Ofisi za Meya wa Jiji Karimujee hall Wamewaka Picha za Mameya wote Kabla ya Tanganyika Kupata Uhuru na baada ya Uhuru, Mpaka Meya huyu wa Sasa. Wanatambua Mameya wa Kizungu na Kihindi ila Wamegoma Kutambua Meya wa Chadema 2016 to 2020 Nchi hii inanuka Chuki na Ubaguzi
Wewe ulitegemea chuki iliyopandizwa na magufuri ilikuwa ndogo?Nashindwa kuamini kabisa kuwa hii ndio chuki iliyopo katika siasa zetu.
Hapa ni Ofisi za Meya wa Jiji Karimujee hall Wamewaka Picha za Mameya wote Kabla ya Tanganyika Kupata Uhuru na baada ya Uhuru, Mpaka Meya huyu wa Sasa. Wanatambua Mameya wa Kizungu na Kihindi ila Wamegoma Kutambua Meya wa Chadema 2016 to 2020 Nchi hii inanuka Chuki na Ubaguzi
CCM ina siasa za Kishamba sana !Nashindwa kuamini kabisa kuwa hii ndio chuki iliyopo katika siasa zetu.
Hapa ni Ofisi za Meya wa Jiji Karimujee hall Wamewaka Picha za Mameya wote Kabla ya Tanganyika Kupata Uhuru na baada ya Uhuru, Mpaka Meya huyu wa Sasa. Wanatambua Mameya wa Kizungu na Kihindi ila Wamegoma Kutambua Meya wa Chadema 2016 to 2020 Nchi hii inanuka Chuki na Ubaguzi
Kukosa aibu ni ushahidi wa kukosa akiliChadema wanapenda kulialia sana lini huyo amewahi kuwa meya wa Jiji?