Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 12,212
- 17,005
- Thread starter
- #41
Maua Dada yanameremeta!Huu umri umeoa tayari mkuu, unataka uchepuke?
Maua Dada yanameremeta!Huu umri umeoa tayari mkuu, unataka uchepuke?
Ndio maana niliona Aibu,nikaghairi!Kiufupi ulitaka kula mjukuu wako siyo. Utakufa vibaya wewe
Hofu yangu ni umri na kuamkiwa na mama yake mzazi!Sasa hofu yako n ipi
Mbaya zaidi anaandika kama mwanafunzi wa darasa la nne anaesomewa IMLA..Nimelia sana aisee,
Story Yako haina maadili
Utu upo wapi kwanini tunakua na tamaa?
Mtoa Mada umeniuzi nikajua utakuja kwenye uzi wa riki boy kuleta ushuhuda
Unatuletea story za kushindwa
Shabhaaash!
Sawa KalumbuMaua Dada yanameremeta!
Kula kinachofaa kuliwa hayo mengine hayakuhusuHofu yangu ni umri na kuamkiwa na mama yake mzazi!
Sawa mkuu nimekuelewa!Kula kinachofaa kuliwa hayo mengine hayakuhusu