Aibu hii imenikumbusha mengi!

Aibu hii imenikumbusha mengi!

Mkuu utakuwa mzee sana... Yaani babu unataka kula kilembwe keza?

Hakika nimepata simanzi kubwa
 
Habari Ndugu na jamaa, nashukuru Mungu, Muumba mbingu na Ardhi kwa Uhai huu.
Tunaishi katika Dunia yenye mambo mengi ya kufurahisha, kuhuzunisha na ndio Maisha!

Umri Kumbe umesonga! Kuna Kasi hana, nilikuwa nakafukuzia huku mtaani, kazuri kameumbika kwa kweli, Mimi ninavyokaona. Nikawa nakapa zaidi huku nikijiandaa Nako kuvunja Amri!Jamaa yangu akamuita dada mmoja ninayemfahamu, kwa heshima yule Dada Huwa Ananiambia, Shikamoo siku zote tukikutana. Kumbe huyu dada ndie mama mzazi wa hako kabinti ninakotaka tuvunje hiyo Amri ya Sita!

Nimeishiwa pozi na sikatafuti tena na naachana na mambo ya kutafuta mademu.
Umri umeenda tuyaache haya mambo yakupita!
Ahsanteni.
Mbona umekata tamaa mapema mno mkuu
 
Habari Ndugu na jamaa, nashukuru Mungu, Muumba mbingu na Ardhi kwa Uhai huu.
Tunaishi katika Dunia yenye mambo mengi ya kufurahisha, kuhuzunisha na ndio Maisha!

Umri Kumbe umesonga! Kuna Kasi hana, nilikuwa nakafukuzia huku mtaani, kazuri kameumbika kwa kweli, Mimi ninavyokaona. Nikawa nakapa zaidi huku nikijiandaa Nako kuvunja Amri!Jamaa yangu akamuita dada mmoja ninayemfahamu, kwa heshima yule Dada Huwa Ananiambia, Shikamoo siku zote tukikutana. Kumbe huyu dada ndie mama mzazi wa hako kabinti ninakotaka tuvunje hiyo Amri ya Sita!

Nimeishiwa pozi na sikatafuti tena na naachana na mambo ya kutafuta mademu.
Umri umeenda tuyaache haya mambo yakupita!
Ahsanteni.
Kiufupi ulitaka kula mjukuu wako siyo. Utakufa vibaya wewe
 
Back
Top Bottom