Afisa wa ubalozi wa Tanzania nchini Botswana anaonekana mitaani na mahakamani mkoani Kilimanjaro akizurura na gari la Ubalozi!

peno hasegawa

JF-Expert Member
Feb 24, 2016
12,829
21,460
Ninasikitika sana!

Serikali imejisahau au ni watumishi wa umma wamejisahau?

Kuna mtumishi wa ubalozi wa Tanzania nchini Botwana anaonekana kila mwezi akizurura na gari lenye namba za ubalozu wetu nchini Botswana.

Sababu za kimsingi kuwa na gari hilo mkoani kilimanjaro ni kuhudhuria mahakamani kwenye kesi iliyofunguliwa mahakama kuu baada ya kununua mali haramu kupitia madalali na sasa anatumia kodi za Watanzania kuhudhuria kesi binafsi.

Ninaishauri serikali idhibiti matumizi ya kodi za wananchi kwa kuzuia matumizi mabaya ya kiofisi.

Ninashauri waziri makamba mpe uhamisho kijana huyo arudi wizarani ili kupunguza matumizi mabaya ya kodi za wananchi.

Huwa anatokea Botswana anatokea zambia na kuingia mpakani eneo la Tunduma..

Picha za gari hilo nitaziweka hapa.
 

Attachments

  • 9282BA9A-A500-42F9-996A-45DFF69D248C.jpeg
    9282BA9A-A500-42F9-996A-45DFF69D248C.jpeg
    56.4 KB · Views: 5
Ninasikitika sana!!
Serikali imejisahau au ni watumishi wa umma wamejisahau?

Kuna mtumishi wa ubalozi wa Tanzania nchini Botwana anaonekana kila mwezi akizurura na gari lenye namba za ubalozu wetu nchini Botswana.

Sababu za kimsingi kuwa na gari hilo mkoani kilimanjaro ni kuhudhuria mahakamani kwenye kesi iliyofunguliwa mahakama kuu baada ya kununua mali haramu kupitia madalali na sasa anatumia raslimali za watanzania kuhudhuria kesi binafsi.

Ninaishauri serikali idhibiti matumizi ya kodi za wananchi kwa kuzuia matumizi mabaya ya kiofisi.

Ninashauri waziri makamba mpe uhamisho kijana huyo arudi wizarani ili kupunguza matumizi mabaya ya kodi za wananchi.

Picha za gari hilo nitaziweka hapa.
sijaelewa, yeye ni afisa ubalozi wetu wa botswana, kule botswana kuna magari ya ofisi yetu ya ubalozi kule wanayoyatumia, ni kwamba ameendesha gari za ofisi yetu ya ubalozi botswana kuna nalo bongo? au anatumia magari yepi? na je? inaruhisiwa au inazuiliwa? pia, unaonaje kama vita zenu za mahakamani mkamaliza kimahakama kuliko kuleta huku nje, kuna doubt hapo kama wewe sio mpinzani wake kwenye kesi ya mahakama kuu.
 
sijaelewa, yeye ni afisa ubalozi wetu wa botswana, kule botswana kuna magari ya ofisi yetu ya ubalozi kule wanayoyatumia, ni kwamba ameendesha gari za ofisi yetu ya ubalozi botswana kuna nalo bongo? au anatumia magari yepi? na je? inaruhisiwa au inazuiliwa? pia, unaonaje kama vita zenu za mahakamani mkamaliza kimahakama kuliko kuleta huku nje, kuna doubt hapo kama wewe sio mpinzani wake kwenye kesi ya mahakama kuu.
Anatumia gari la serikali ya Tanzania lililopo ubalozi wetu nchini Botswana kuja nalo Tanzania kuxurura nalo na kuhudhuria mahakamani , kesi binafsi!!
 
Anatumia gari la serikali ya Tanzania lililopo ubalozi wetu nchini Botswana kuja nalo Tanzania kuxurura nalo na kuhudhuria mahakamani , kesi binafsi!!
inawezekana aliomba ruhusa, na balozi alimruhusu aje nalo. na kama ameruhusiwa kuja nalo hadi hapa, sioni kama ni shida kuliendesha. kwani kosa lake liko wapi sasa hapo? kwani ukikabidhiwa gari na serikali hutakiwi kuliendesha?
 
inawezekana aliomba ruhusa, na balozi alimruhusu aje nalo. na kama ameruhusiwa kuja nalo hadi hapa, sioni kama ni shida kuliendesha. kwani kosa lake liko wapi sasa hapo? kwani ukikabidhiwa gari na serikali hutakiwi kuliendesha?
Unajua utaratibu wa matumizi ya magari ya Serikali ya JMT lakini? Au ukute watu wenye akili zao wanabishana na mjinga flani.
 
sijaelewa, yeye ni afisa ubalozi wetu wa botswana, kule botswana kuna magari ya ofisi yetu ya ubalozi kule wanayoyatumia, ni kwamba ameendesha gari za ofisi yetu ya ubalozi botswana kuna nalo bongo? au anatumia magari yepi? na je? inaruhisiwa au inazuiliwa? pia, unaonaje kama vita zenu za mahakamani mkamaliza kimahakama kuliko kuleta huku nje, kuna doubt hapo kama wewe sio mpinzani wake kwenye kesi ya mahakama kuu.
Hata kama mpinzani wake anachokisema ni cha kweli?
 
anaweza kuwa si mhuni, yafaa upate story ya upande wa pili kwanza hasa kwenye mazingira ambayo watu wapo kwenye mgogoro.
 
Back
Top Bottom