Watanzania bado tuko karne ya 17 ambayo Ulaya wakati huo walikuwa wanatumia farasi na matela ya abiria kufanya usafiri,ushauri wangu,serekali ilete punda wa kutosha kutoka Singida na itengeneze matela,hiyo itakuwa njia bora ya usafiri ambao hautaleta ajali na matatizo kama haya yanayotokea,halafu tutaanza taratibu kujongea karne hadi karne mpaka tufike stage ya vyombo vya moto,fuel itakayotumika kwa punda hao itakuwa ni Carrot na mihogo mibichi,hiyo itaongeza soko la ndani kwa wakulima kujipatia kipato na kulipa kodi,mbolea ya punda tutaipeleka mashambani na kuwauzia wakulima ili kurejesha rutuba katika ardhi bila kutumia mbolea zenye kemikali ambazo ni ghali,halafu ili kuongeza mwendo(SPEED) ya punda wetu ili kuwafanya kuwa na accelaration nzuri na pia changing of gears(KIBADILI MWENDO),itabidi kilimo cha pilipili kiongezeke coz tutatumia pilipili ya kijani(mild) kusugua punda kwenye tigo ili wakati anaanza kuondoka iwe kama first gear,akishaanza kuchanganya mwendo tunamsugua punda kwenye tigo na pilipili nyekundu(strong), ili speed iwe overdrive ili kuokoa muda,hapo tutakuwa na soko kubwa la ndani la pilipili kwa wakulima nchini na watalipa kodi nzuri pia,punda wakizeeka au kuugua tutawachinja na kusindika nyama yake kwenye makopo na kuuza, hii itaongeza mapato kwa serekali na siha kwa wananchi sababu nyama ya punda ina protein ya kutosha na kinga dhidi ya maradhi ambukizi,ngozi za punda serekali itafanya export,hakutakuwa na polution ya green gas or lead poisoning itokanayo na fossil fuel ambayo ni janga kwa Taifa sababu inasababisha SARATANI, ugonjwa unaozidi siku hadi siku nchini kwetu.TUUNGANE KUISHINIKIZA SEREKALI JUU YA UMUHIMU WA PUNDA KIMAENDELEO,BILA KUSAHAU PUNDA NI MALI.