Gsana
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 4,383
- 1,321
kuua na kufungwa ni vitu viwili tofauti...
hakuna sehemu nimesema ni kitu kimoja!!
kuua na kufungwa ni vitu viwili tofauti...
Siku zote ukitaka kujibu swali, kitu cha kwanza unapaswa kuelewa hicho kilichozungumzwa/kuandikwa....
Tell me something, kwa mawazo yako wewe, unadhani kwanini capital punishment haitekelezwi inavyotakiwa?
Ninaposema corruption, simaanishi as sababu ya kuiondoa corruption. Ninachomaanisha ni equality in the eyes of the law. Ni lazima kuwe na usawa kwenye kutekeleza adhabu hii either kwa mwenye pesa ama asiye na pesa, endapo itabase upande mmoja then its useless.... icho ndicho nilichokiongelea hapo...
Niambie kitu rafiki, Kama watu wangekua matajiri, unadhani ni kwa grounds zipi tungesema taifa ni masikini? Taifa linajengwa na nani?
Swali langu la mwisho kwako Mheshimiwa, Unadhani ni kwanini sheria zimeundwa?
rafiki msitari wako wa mwisho unajibu la swali ulilouliza kwenye msitari wako wa pili.
Msitari wako wa mwisho ni jibu kwa mada unayoitetea...Unadhani ni kwanini sheria zimeundwa?
Adhabu ya kunyongwa ni matunda ya mtu aliye vunja she ria ya mauaji.she ria IPO ili ifuatwe so vyombo vya kusimamia khaki vifuatwe na hekima pia itumike
Doppleganger
umeenda mbali sana.
kila jambo lina mipangilio na kanuni zake sisi duniani tulikuja na manifesto yetu.ktk kitabu cha Leviticus mungu ndio aliamrisha atakaeua auwawe! sipendi kuwa quotted lakini chunguza au wanaopenda kusema waseme Nyerere,Mzee Ruksa, Mzee wa uhakika Ben nani aliua? na kwa nini? Swahiba wetu anaondoka keshokutwa tu,Je ameua au ataua? why?
hukumu ya kifo msiseme imepitwa na wakati it is the right purnishment for one who kills or rapes. Na unapo msomea mtu sentence ya kufa, after all his appeals sioni marais wanawaweke wa nini, They would kill them soon after that! whem you pardon him amd lessen his sentence to that of life term my learned brother you are not linient to the culprit you are giving him more hardship and just wasting govt money to tame a useless person.
Hata wale waliomuuwa baba yangu akilinda kule kanisani wangepatikana wapewe adhabu ya kifo tu.
............ Uchungu wa hii kitu ninaujua mimi tu....................
Anyway...uwepo wa sheria ni kitu kingine na enforcement yake ni kitu kingine! Hukumu ya kifo kwa tz ipo tu kwenye vitabu nadhani! Kutekelezeka ni kugumu. Silent Actor kaeleza kiasi hapo juu! Sasa kuliko wahukumiwe kifo ilhali wanarundikwa tu huko, bora watafutiwe adhabu nyingine kali ambayo itawaumiza na kuwafanya wajutie kosa lao maisha yao yote!