Danp36
JF-Expert Member
- Jul 31, 2010
- 2,097
- 920
VoiceOfReason;
kuna mda mwingine unaweza nyonga mtu kumbe hakufanya kosa.mtu kama ushahidi unautata huyo apewe life sentence.ila mtu kafanya kosa alafu kaone kana live mfano aliekutwa anauza nyama ya binadamu huyo hakuna mjadala ni kumfanya kama alichofanya kama china
kuna mda mwingine unaweza nyonga mtu kumbe hakufanya kosa.mtu kama ushahidi unautata huyo apewe life sentence.ila mtu kafanya kosa alafu kaone kana live mfano aliekutwa anauza nyama ya binadamu huyo hakuna mjadala ni kumfanya kama alichofanya kama china