Leak
Platinum Member
- Feb 22, 2012
- 52,939
- 43,569
Kwani njia ya mazungumzo haiwezi ikawa suluhu ya matatizo mpaka kunyimana?
Baba, mwanamke havutiwi na maumbile. Anavutiwa na upendo, kuthaminiwa na emotional satisfaction. Sio kama anakunyima, unakuwa umemtoka moyoni.unless ni biashara, hatuwezagi kujilazimisha rigwaride!