Adhabu ya kunyimana.

Adhabu ya kunyimana.

ni adhabu nzuri sana. hamkuona ule uzi MMU ambapo yule 'mwanaume rijali' alimnyima mkewe unyumba mpaka mke 'akasalimu amri' na 'kuomba msamaha'

Ukiona hvo ujue kuna mawili.
1. Huyo mwanamke ndo mara yake ya kwanza kuja mjini i mean aliletwa na huyo mwanaume na

2. Huyo mwanamke ndio aliyetolewa 'kizinda' na huyo mwanaume,laiti angeolewa pasipokuwa na hyo kitu,wangetoka ngoma droo.
 
King'asti na Kaunga wamemaliza.....

Wanaume hata mlalamikaje, kwa mwanamke tendo la ndoa si kitandani pekee.... Linaanza toka mnavyoianza siku, unavyomtreat na vionjo vya hapa na pale....kitandani mnahitimisha tu...

Sasa umkere.....au akitaka attention yako wewe upo bar kisa mkeo anaongea sana....au ukirudi wewe ni tafrani thwnnutegemee upewe utamu? Thubutuuuuuu muandae mkeo mapemaaaaaaaaaa ndo maana naimba kila siku humu hakuna kazi ngumu kama kumridhisha mwanamke watu hamuelewi.....
 
Last edited by a moderator:
Wewe Kaunga naona sasa unataka kutishia usalama kwa kuonesha utaalamu wako wa kuunganisha dots!!

Hata hivyo nilitaka kushangaa kama kweli kungewa na mtu amekuwa kwenye ndoa walau kwa mwaka mmoja na hajawahi kutembeza au kuchapwa adhabu hiyo!!

Wengine hata hatuwezi tena kuhesabu ni mara ngapi tumetembezewa mkong'oto wa namna hiyo!!

Babu DC!!

Mzee mwenzangu Dark City mwaka wa 15 huu sijawahi
Nyimwa hata siku moja! Maajabu au
 
Last edited by a moderator:
King'asti na Kaunga wamemaliza.....

Wanaume hata mlalamikaje, kwa mwanamke tendo la ndoa si kitandani pekee.... Linaanza toka mnavyoianza siku, unavyomtreat na vionjo vya hapa na pale....kitandani mnahitimisha tu...

Sasa umkere.....au akitaka attention yako wewe upo bar kisa mkeo anaongea sana....au ukirudi wewe ni tafrani thwnnutegemee upewe utamu? Thubutuuuuuu muandae mkeo mapemaaaaaaaaaa ndo maana naimba kila siku humu hakuna kazi ngumu kama kumridhisha mwanamke watu hamuelewi.....

bhaelezee bhaelezeee!bhape ukweli !
 
Mzee mwenzangu Dark City mwaka wa 15 huu sijawahi
Nyimwa hata siku moja! Maajabu au


Mhhhhh,

Hongera zako Mkuu Kaizer,

Ila wengine huwa wananyima/nyimwa bila kujijua.

Kuna jamaa alikuwa anaambiwa kuwa menopause imeanza kwa hiyo mahitaji yamedrop wakati kuna mtoa huduma pembeni anafanya kazi vizuri...

Just take a closer look and come again!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
King'asti na Kaunga wamemaliza.....

Wanaume hata mlalamikaje, kwa mwanamke tendo la ndoa si kitandani pekee.... Linaanza toka mnavyoianza siku, unavyomtreat na vionjo vya hapa na pale....kitandani mnahitimisha tu...

Sasa umkere.....au akitaka attention yako wewe upo bar kisa mkeo anaongea sana....au ukirudi wewe ni tafrani thwnnutegemee upewe utamu? Thubutuuuuuu muandae mkeo mapemaaaaaaaaaa ndo maana naimba kila siku humu hakuna kazi ngumu kama kumridhisha mwanamke watu hamuelewi.....

Kwa hiyo BADILI TABIA unakiri kuwa ni adhabu lakini sababu ni kutopewa attention na mdau?

Naomba uniweke sawa hapo!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
faida zake:-ukimwi,hawara,watoto wa nje,hakuna mipango maendeleo nyumbani!mwanaume lazima atatafuta poozeo au hgirl
 
Ukiona hvo ujue kuna mawili.1. Huyo mwanamke ndo mara yake ya kwanza kuja mjini i mean aliletwa na huyo mwanaume na 2. Huyo mwanamke ndio aliyetolewa 'kizinda' na huyo mwanaume,laiti angeolewa pasipokuwa na hyo kitu,wangetoka ngoma droo.
that was meant to be a sarcastic post madam
 
Hata mimi nilimnyima Arushaone akanipiga chini.

"Mmepewa bure, toeni bure." Maandiko hayo... Kuna pengine pameandikwa "Msinyimane" nadhani 2wakorintho mlango wa 7 mistari utaipata humohumo.
 
Mhhhhh,

Hongera zako Mkuu Kaizer,

Ila wengine huwa wananyima/nyimwa bila kujijua.

Kuna jamaa alikuwa anaambiwa kuwa menopause imeanza kwa hiyo mahitaji yamedrop wakati kuna mtoa huduma pembeni anafanya kazi vizuri...

Just take a closer look and come again!

Babu DC!!


OOOps babu DC dats truth that really pains!!!
Shem Kaizer hasnt my sista AshaDii done dat to u sometime!??
Isnt that the rizo ukatafuta kidumu in gfsonwin!
 
Last edited by a moderator:
"Mmepewa bure, toeni bure." Maandiko hayo... Kuna pengine pameandikwa "Msinyimane" nadhani 2wakorintho mlango wa 7 mistari utaipata humohumo.


Mkuu hizi ni nadharia tu ....Ulishawahi kuiona au kuigusa S.T.P?

Babu DC!!
 
OOOps babu DC dats truth that really pains!!!
Shem Kaizer hasnt my sista AshaDii done dat to u sometime!??
Isnt that the rizo ukatafuta kidumu in gfsonwin!

Kweli kabis mkuu Mentor,

Naona huyu Kaizer anaishi peponi!!

Eti hajawahi kulala njaa hata siku moja???

May be atueleze kuwa mara nyingine anakula magengeni kwa mama nitilie!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
OOOps babu DC dats truth that really pains!!!
Shem Kaizer hasnt my sista AshaDii done dat to u sometime!??
Isnt that the rizo ukatafuta kidumu in gfsonwin!

Mentor my beloved brother... gfsonwin is not a kidumu, ni mke halal... Alafu mimi sipo kwenye kundi ya kunyima loved ones... lol.

Ugomvi na hio sector ni maeneo mawili tofauti... So isikuume...

B2T, Wajad, kama kuna ugomvi ni kheri mkakaa na kusuluhisha. Ungomvi wa kendeleza sio mzuri, na ndio maana in most cases inashauriwa kama umekosana na mpenzi wako usilale bila kuweka mambo sawa. Kutokubali kufanya mapenzi ni moja ya njia ya kuonesha hujasamehe... Na upande wangu sioni kama ni wazo zuri kutoa adhabu in the lines of that.
 
Last edited by a moderator:
Kweli kabis mkuu Mentor,

Naona huyu Kaizer anaishi peponi!!

Eti hajawahi kulala njaa hata siku moja???

May be atueleze kuwa mara nyingine anakula magengeni kwa mama nitilie!

Babu DC!!


Mkuu DC with a wife like gfsonwin na mimi dadake unadhani kuwa baba watoto anaweza kulala njaa?! Nilikuwa nakataa matala but baada ya kuniweka sawa nimeshangaa sana kujua kuwa kumbe ndio mpango mzima! sasa hivi napata hata nafasi ya kuenda vacation na galfriends wangu watoto wakiwa na bi mdogo na baba watoto... hahaha!
 
Last edited by a moderator:
Mhhhhh,

Hongera zako Mkuu Kaizer,

Ila wengine huwa wananyima/nyimwa bila kujijua.

Kuna jamaa alikuwa anaambiwa kuwa menopause imeanza kwa hiyo mahitaji yamedrop wakati kuna mtoa huduma pembeni anafanya kazi vizuri...

Just take a closer look and come again!

Babu DC!!

hahaha Thanks mkuu Dark City I am back....ila unfortunately, kwangu haijawahi kutokea. See, the problem is, kwa maoni yangu kama mkeo kabisa anakunyima (bila sababu ya kimatibabu au kuwa yuko appolo) basi kuna a very BIG problem hapo!

Aidha humridhishi, au ana kidumu. bhaaas.
 
Last edited by a moderator:
Mentor my beloved brother... gfsonwin is not a kidumu, ni mke halal... Alafu mimi sipo kwenye kundi ya kunyima loved ones... lol.

Ugomvi na hio sector ni maeneo mawili tofauti... So isikuume...

B2T, Wajad, kama kuna ugomvi ni kheri mkakaa na kusuluhisha. Ungomvi wa kendeleza sio mzuri, na ndio maana in most cases inashauriwa kama umekosana na mpenzi wako usilale bila kuweka mambo sawa. Kutokubali kufanya mapenzi ni moja ya njia ya kuonesha hujasamehe... Na upande wangu sioni kama ni wazo zuri kutoa adhabu in the lines of that.


Seee Love? when I tell them, wanadhani mi nawadanganya....bora wamesikia from you! inahuuuu? tunyimane kwa kisa gani? hatujui kusamehe....kwanza ikitumika vizuri si ndo msamaha unakuwaga 'mtamu' zaidi!
 
Back
Top Bottom