Mwalimu wangu mmoja aliwahi kusema kuwa mojawapo ya adhabu unayoweza kumpatia mpenzi wako aliyekuudhi ni kumnyima unyumba. Nilimuuliza, endapo una huyo m1 tu inakuwaje? Alijibu kuwa siku zote adhabu kwa wapendanao huathiri pande zote mbili. Uzoefu unaonyesha kuwa wanawake ni wepesi mno wa kugawa adhabu hii, na kwa wanaume wanapotoa doz hii wanakuwa na mahali pengine pa kujishikiza. Yote kwa yote, nini maoni yako kuhusu adhabu hii? Nini madhara yake? Ushawahi kugawa doz hii weye? What happened?