UMUGHAKA
JF-Expert Member
- Sep 1, 2021
- 2,157
- 10,718
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!
Watanzania wengi huwa niwakurupukia mambo utadhani wana matatizo ya kiakili!
Huyo jamaa aliyeonekana ameua Mamba aliyesadikika kuwa mkubwa nchi Tanzania analindwa na sheria mbovu za uwindaji zilizopitishwa na kutungwa na kina Musukuma na wenzie wasiyojua lolote kuhusu mambo ya sheria!
Watanzania badala wailalamikie au wabunge wao na kuwauliza kwanini walipitisha sheria mbovu zinazowalinda wauaji wa wanyama wetu wao wanamsakama jamaa asiyekuwa na makosa hata kidogo!.
Niwaombe watanzania muache wivu wa kipumbavu,Acheni wageni wafurahie mema ya nchi ambapo sheria zinawalinda!
Unadhani wao ni wajinga?,Mtu kuua mnyama na kuposti tena kwa dharau yeye si fala bali sheria zinamlinda!.
Hizo chuki na wivu inapaswa mziamishie kwa Serikali yenu iliyojaa walanguzi!
Nyie wengine kama mkiwinda mnakamatwa waacheni wao wawinde na wafanye watakavyo kwasababu wabunge na serikali yenu ilitunga sheria kuwalinda!
Watanzania wengi huwa niwakurupukia mambo utadhani wana matatizo ya kiakili!
Huyo jamaa aliyeonekana ameua Mamba aliyesadikika kuwa mkubwa nchi Tanzania analindwa na sheria mbovu za uwindaji zilizopitishwa na kutungwa na kina Musukuma na wenzie wasiyojua lolote kuhusu mambo ya sheria!
Watanzania badala wailalamikie au wabunge wao na kuwauliza kwanini walipitisha sheria mbovu zinazowalinda wauaji wa wanyama wetu wao wanamsakama jamaa asiyekuwa na makosa hata kidogo!.
Niwaombe watanzania muache wivu wa kipumbavu,Acheni wageni wafurahie mema ya nchi ambapo sheria zinawalinda!
Unadhani wao ni wajinga?,Mtu kuua mnyama na kuposti tena kwa dharau yeye si fala bali sheria zinamlinda!.
Hizo chuki na wivu inapaswa mziamishie kwa Serikali yenu iliyojaa walanguzi!
Nyie wengine kama mkiwinda mnakamatwa waacheni wao wawinde na wafanye watakavyo kwasababu wabunge na serikali yenu ilitunga sheria kuwalinda!