Acheni kujichubua

Acheni kujichubua

Kuna huyo mmoja nilisoma nae secondary alikua mweusi mzuri.
Siku ya siku huku duniani nikakutana nae mama mama mama eeeeeh, yani ni amekua mweupe peeeeh peeeeeeh.
Nikamuuliza ww ni nani ety me Mwasie nikakataa kabisa sio ww, maan Celine Dion wa buza sie, Kimberly Kardash sie.
Loooooooh aibu.
Wadada na wamama & baadhi ya wanaume wa kibongo acheni kujichubua mnakuwa mnatisha sana na hamvutii, unakuta mtu kajichubua Hadi mishipa ya kijani inajitokeza mwilini

Najua Kila mtu ana uhuru wa kufanya jambo analopenda lakini kama tunapinga rushwa,ujambazi ,ushoga basi na kujichubua inabidi ikemewe haraka

Kuna tukio Moja mdada alipendwa na jamaa mmoja kutoka Sweden yule mdada miezi sita waliyoachana na jamaa alitumia kujichubua jamaa anarudi miezi 9 mbeleni anakuta mwanamke kajichubua & alimuacha hapo hapo na matusi juu .
 
unakuta binti kawa karatasi unaona michirizi ya kijani

wacha nikumege siri wanawake wanaojichubua wanakua na harufu kama ya chuma kilichopata moto
kabisa kuna kiharufu fulani cha kiwaki kinoma
 
Wanunulieni wanawake zenu vipodozi vya bei ghali wapendezeshe ngozi zao, acheni kuwasimanga

Hii siyo kweli

Mimi nauza vipodozi
Nina Vitu mfano golden glow inajua kuchubua jamani na ni 60,000
Lakini kuna mafuta simple tu kama Dr James @10,000, pro white @20,000 na yanaweka ngozi vizuri bila kubadilisha Rangi.
 
IMG_6344.jpg
 
Na ushangazi wetu kujichubua vipi?watu tuna ma sunscreen,ant-oxdant,vitamin C,Kwa Nini tusiglow mashangazi?
imagine imagine watu tuna kula ant aging ngozi inatreatiwa ah weeee afu tukiglow wanasema tunajichubua hahahah

wanaijua gharama kwanza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom