Acheni kujichubua

Acheni kujichubua

Ngozi lazima itunzwe, kama mwanaume ni wajibu wako kwa mwanamke wako,

NB: sizungumzii kujichubua bali kutunza ngozi iwe na muonekano mzuri
Sio lazima kwa mafuta na vipodozi vya gharama sana. Ingekuwa hivyo kwa status ya watanzania wengi hata wasingependeza.

Wanawake wakubali kuishi kwenye levels za waume zao. Kama mume uwezo wake ni nivea basi kubali kuishi kwa namna hiyo.
 
unakuta binti kawa karatasi unaona michirizi ya kijani

wacha nikumege siri wanawake wanaojichubua wanakua na harufu kama ya chuma kilichopata moto
Pia hupoteza joto la asili,Wana kaubaridi fulani aiseh hukojoi kabisa!!

Halafu wale wanaoweka dawa Kali za nywele kichwani wanaongeza water Kwa kisima !my friend it's booring aiseh!!!

So sad!
 
Kuna wengine wanajichubua kwa makusudi weusi hawaukubali...vipodozi gani hivyo vya rahisi vinavyomfanya mtu awe mweupe badala ya weusi alioumbwa nao?

Tuanze na Wema, hajajichubua yule? Ndio kusema anatumia vipodozi vya bei rahisi?
Wengi wanaojichubua ni hawajikubali kuwa weusi ,kama issue ni vipodozi, vipo vingi sana na vizuri ambavyo havichubui....Yani wanajichubua alafu angalia na hili jua la DSM linavyochoma

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Mimi hata kulala naye tu siwezi maana ni kama nimelala na nguruwe
Kabla sijaacha ufuska nilimpata mmoja kajichubua alafu na maziwa yameshuka Yani baada ya bao la kwanza haikusimama haraka na ilipokuja kusimama ikanywea ikiwa ndani ya papuchu

Yani alikuwa kajichubua aisee basi tu ule ugumu niliokuwa nao ndo ulisababisha nimle kibishi

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Kabla sijaacha ufuska nilimpata mmoja kajichubua alafu na maziwa yameshuka Yani baada ya bao la kwanza haikusimama haraka na ilipokuja kusimama ikanywea ikiwa ndani ya papuchu

Yani alikuwa kajichubua aisee basi tu ule ugumu niliokuwa nao ndo ulisababisha nimle kibishi

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Wanakuwa na kaharufu, stimu lazima ikate
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom