Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,832
- 37,438
Kabisa.Siku hizi naona mabinti wameelimika % kubwa hawajichubui
Shida ni mama/bibi zetu.
Wasichana wengi hawana hiyo tabia.
Ila umri wetu sasa....🙌🙌🙌
Kabisa.Siku hizi naona mabinti wameelimika % kubwa hawajichubui
Shida ni mama/bibi zetu.
ðŸ¤ðŸ¤ðŸ¤ðŸ¤ðŸ¤Asilimia kubwa,wanaojichubua hawajui hili wala lile. Ni wale wapo wapo tu,wa kudanga au kukaa kwa shemeji. Wengine wenye mishe zao,ni wa kuvutwa na kuhongwa. Ila pia wao ukiwaangalia,unaona kabisa dishi halipo sawa
Kabisa....Ndo maana unaambiwa wana vichwa viwili. Cha juu kinajikaza kwa mda,chenzie kinaburudika. Ila baada ya hapo,hata akipiga simu,anapigwa lock.
Mna msemo wetu "nitamfunika uso na mto"Asante Sana aisee ,yani ukiona mpaka mtu anasimamisha ujue kavumilia mengi
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Hahahahaha nalijua. Kuna single mama humu,nadhani ndo anaeongoza. Akisoma comments zangu huwa anameza Panadol kwanza. Akinishika,ndo basi tenaðŸ¤ðŸ¤ðŸ¤ðŸ¤ðŸ¤
Utapigwa mawe....shauri zako
Halafu mnapenda kuwasimanga single mama.Hahahahaha nalijua. Kuna single mama humu,nadhani ndo anaeongoza. Akisoma comments zangu huwa anameza Panadol kwanza. Akinishika,ndo basi tena
Teh teh teh teh wanatakaga wenyewe:Halafu mnapenda kuwasimanga single mama.
Afu wewe....🤛🤛🤛
Si kichambo hiki jamani😃😃😂😂Teh teh teh teh wanatakaga wenyewe:
-Anaishi nyumba ya urithi
-Ana watoto 4
-Kila mtoto ana baba yake
-Analingia wapangaji wao
-Kavuta kijama linakaa nae kwamba ndo mme wake,
Kazi kuoiga tu taarabu,eti siyo kwamba wamependa kuitwa......
Muache apake mikucha rangi afurahie masimango.
😄😄😄😄😄Teh teh teh teh wanatakaga wenyewe:
-Anaishi nyumba ya urithi
-Ana watoto 4
-Kila mtoto ana baba yake
-Analingia wapangaji wao
-Kavuta kijama linakaa nae kwamba ndo mme wake,
Kazi kuoiga tu taarabu,eti siyo kwamba wamependa kuitwa......
Muache apake mikucha rangi afurahie masimango.
Wanaboa sana...hahahahaah wakipata ajali ndo watajua hawajui..Unakuta binti kawa karatasi unaona michirizi ya kijani
Wacha nikumege siri wanawake wanaojichubua wanakua na harufu kama ya chuma kilichopata moto
unapishanana mtu unabaki kujiuliza huyu mwendawazimu wa wapiWanaboa sana...hahahahaah wakipata ajali ndo watajua hawajui..
.Wadada na wamama & baadhi ya wanaume wa kibongo acheni kujichubua mnakuwa mnatisha sana na hamvutii, unakuta mtu kajichubua Hadi mishipa ya kijani inajitokeza mwilini.
Najua Kila mtu ana uhuru wa kufanya jambo analopenda lakini kama tunapinga rushwa,ujambazi ,ushoga basi na kujichubua inabidi ikemewe haraka.
Kuna tukio Moja mdada alipendwa na jamaa mmoja kutoka Sweden yule mdada miezi sita waliyoachana na jamaa alitumia kujichubua jamaa anarudi miezi 9 mbeleni anakuta mwanamke kajichubua & alimuacha hapo hapo na matusi juu.
Unakuta binti kawa karatasi unaona michirizi ya kijani
Wacha nikumege siri wanawake wanaojichubua wanakua na harufu kama ya chuma kilichopata moto
Sahihi kbsa aisee ni kutojikubali.
Sio kujichubua tu, kuna swala la nywele pia ambalo ni sugu.
.
Kina dada wengiiii wanasuka nywele au kuweka mitindo ya nywele ndefu kama wazungu. Kisaikolojia ina maananisha dada zetu hawajajikubali wao kama wao ndomana wanataka kuwa na nywele ndefu kama wazungu.
unapishanana mtu unabaki kujiuliza huyu mwendawazimu wa wapi




Bora hata hizo nywele ni za kuweka na kutoa lkn ngozi ikishaharibiwa ndio basi tena..
Sio kujichubua tu, kuna swala la nywele pia ambalo ni sugu.
.
Kina dada wengiiii wanasuka nywele au kuweka mitindo ya nywele ndefu kama wazungu. Kisaikolojia ina maananisha dada zetu hawajajikubali wao kama wao ndomana wanataka kuwa na nywele ndefu kama wazungu.
Kweli kbsa kikubwa wajikubali tuKwenye suala la kujichubua aah hata sitarajii kulifanya maishani, naipenda hii rangi yangu ya pepsi.
Afu weupe wa kujichubua hata si mzuri kwa muonekano na unaonekana ni feki, sijui wanaojichubua wanajionaje yani.
Muhimu ni kujikubali ulivyo.