Acheni kujichubua

Acheni kujichubua

Kwani wanaelewaga sasa
Waonewe huruma, mkorogo ni kama madawa ya kulevya, kuingia rahisi kutoka ni mtiti

Kuna siku nimeenda dukani nikamwambia mwenye duka nataka lotion ya kunifanya niglow....Mimi ni maji ya kunde...hapo Kuna lotion inatangazwa na dada wa mjini nimetumia naona inanitoa sugu

Basi nikapewa face cream, napaka kweli nikaanza kung'aa.....miezi 6 naona naanza kuwa mwekundu usoni, mara mishipa ya damu inaonekana🤣🤣🤣 ilibidi niache, Ile nimeacha nikawa mweusiii kama nimepigwa bomu.....Kwa kuwa nilikuwa likizo nikakomaa sitoki nje, mwendo wa scrub na mafuta ya Nazi.....sasa ngozi imerudi normal

Sio kazi rahisi kuacha hizo cream, ni uraibu.
 
Wadada na wamama & baadhi ya wanaume wa kibongo acheni kujichubua mnakuwa mnatisha sana na hamvutii, unakuta mtu kajichubua Hadi mishipa ya kijani inajitokeza mwilini

Najua Kila mtu ana uhuru wa kufanya jambo analopenda lakini kama tunapinga rushwa,ujambazi ,ushoga basi na kujichubua inabidi ikemewe haraka

Kuna tukio Moja mdada alipendwa na jamaa mmoja kutoka Sweden yule mdada miezi sita waliyoachana na jamaa alitumia kujichubua jamaa anarudi miezi 9 mbeleni anakuta mwanamke kajichubua & alimuacha hapo hapo na matusi juu .
weka picha
 
Hapa mnaponda mikorogo, halafu mki log out mnawapigia simu wauza mikorogo wawaletee..!!! Mnaojichubua mchubue na matraako jamni, mdada sura imeshine kibinda nyuma cheusi tii km tumbili wale wanaoomba chakula mlima Kitonga
Wengine tushakimbia mrembo wakati wa chuma mboga!
Kule mkorogo haufiki! Maana kote kweupe ila pale panapotenganisha makalio peusi kama MKAA!
Panatisha!
 
Wadada wengi wanajichibua ni kwasababau hawajiamini. Kwanini usiiringie rangi yako ulopewa na Mungu tangu kuzaliwa. Halafu nani aliwaambia weupe ndo uzuri.Mwisho wa siku kama ni kupendwa kila mmoja anataste yake hapa duniani. Kuna wanaopenda wanawake weusi na kuna wanaopenda wanawake weupe. Kaa na rangi yako jipende ulivo.
 
Watu wanang'aa Kwa mafuta ya Nazi ya 2,000 ndio iwe 20,000
me nazungumzia wanaojichubua mkuu, mwenyewe mbona niko na vaseline yangu for men sina mambo mengi 😃😃😃... Hao wanaotaka kubadili rangi na wanapaka vya bei rahisi lazima wewe na rangi mbili mbili
 
Waonewe huruma, mkorogo ni kama madawa ya kulevya, kuingia rahisi kutoka ni mtiti

Kuna siku nimeenda dukani nikamwambia mwenye duka nataka lotion ya kunifanya niglow....Mimi ni maji ya kunde...hapo Kuna lotion inatangazwa na dada wa mjini nimetumia naona inanitoa sugu

Basi nikapewa face cream, napaka kweli nikaanza kung'aa.....miezi 6 naona naanza kuwa mwekundu usoni, mara mishipa ya damu inaonekana ilibidi niache, Ile nimeacha nikawa mweusiii kama nimepigwa bomu.....Kwa kuwa nilikuwa likizo nikakomaa sitoki nje, mwendo wa scrub na mafuta ya Nazi.....sasa ngozi imerudi normal

Sio kazi rahisi kuacha hizo cream, ni uraibu.
Uko sahihi kbsa ,ni kama uraibu

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Wadada wengi wanajichibua ni kwasababau hawajiamini. Kwanini usiiringie rangi yako ulopewa na Mungu tangu kuzaliwa. Halafu nani aliwaambia weupe ndo uzuri.Mwisho wa siku kama ni kupendwa kila mmoja anataste yake hapa duniani. Kuna wanaopenda wanawake weusi na kuna wanaopenda wanawake weupe. Kaa na rangi yako jipende ulivo.
Sahihi kbsa

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Wadada na wamama & baadhi ya wanaume wa kibongo acheni kujichubua mnakuwa mnatisha sana na hamvutii, unakuta mtu kajichubua Hadi mishipa ya kijani inajitokeza mwilini

Najua Kila mtu ana uhuru wa kufanya jambo analopenda lakini kama tunapinga rushwa,ujambazi ,ushoga basi na kujichubua inabidi ikemewe haraka

Kuna tukio Moja mdada alipendwa na jamaa mmoja kutoka Sweden yule mdada miezi sita waliyoachana na jamaa alitumia kujichubua jamaa anarudi miezi 9 mbeleni anakuta mwanamke kajichubua & alimuacha hapo hapo na matusi juu .
 

Attachments

  • Screenshot_20240116-180956.jpg
    Screenshot_20240116-180956.jpg
    177.3 KB · Views: 15
  • Screenshot_20240116-180947.jpg
    Screenshot_20240116-180947.jpg
    163.3 KB · Views: 13
1. Wanaume mnawasingizia. Wanajidanganyaga kuwa,wakijichubua ndo watakuwa wazuli na kupendwa. Kumbe siku hizi hata kuwatumia tu,hawana ushawishi. Waache wajichubue watajuta. Ila kiukweli hata kukaa nae hapana,hata kudate ti hapana,achilia mbali kuvuta kitu.

2. Kumbe?! Mi nkajua labda udi wamechoma,au marashi fulani wananyunyizia ndani.

Miaka ya nyuma wakati hili sekeseke ndo linaanza,kuna mama mmoja alikua anatokea kwenye familia yenye uwezo. Miaka kama 30 iliyopita. Kachumbiwa, fresh tu. Kipindi hicho inasemekana walitumia machine kuchubuliwa. Sijui ni kweli au la. Dadeki. Kifaa kiligeuka kifaa. Kama mzungu. Enzi hizo hata hii miwani ya machinga ilikuwa dili,mama wa watu akawa anavaa. Badae,mambo yakaenda ndivyo si vyo,na kilomita zinasoma. Sasa hivi ukimuangalia, hadi kinyaa. Kazaa mitoto ya kike, sasa inadai inaona aibu kukaa nae.
So sad
Ila wapunguze kiukweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom