Acheni kujichubua

Acheni kujichubua

Shida sio elimu, shida ni jamii inayomzunguka na kukataa kuitwa mshamba na jamii hiyo
Asilimia kubwa,wanaojichubua hawajui hili wala lile. Ni wale wapo wapo tu,wa kudanga au kukaa kwa shemeji. Wengine wenye mishe zao,ni wa kuvutwa na kuhongwa. Ila pia wao ukiwaangalia,unaona kabisa dishi halipo sawa
 
Mademu wa morogoro wanaojiuza dar wao wakifika kwanza kazi ni kujichubua, kuchora tattoo, kuvuta bangi na sigara na shisha, ugoro, unga na umalaya uliozidi. Mwenge, manzese, sinza na mwananyamala mademu wafupi kutoka moro wamejazana kwenye gesti uchwara wanauza ten shaw time.
Kumbe nawewe unaendaga huko
 
Ila siku hiz lile wimbi la wadada kujichubua mtu anabaki kama ndizi choma limepungua , siku hizi wanapaka mikorogo ya ghali kidgo , labda uswazi sna wale wa Dira kuchomekewa kwa vyupi.
kwahy vipodoz ghari havina madhara? Bas kuanzha leo betasol ya buku nitauza laki na 50 ili isiwe na madhara, au mnasemaje wadada
 
Mademu wa morogoro wanaojiuza dar wao wakifika kwanza kazi ni kujichubua, kuchora tattoo, kuvuta bangi na sigara na shisha, ugoro, unga na umalaya uliozidi. Mwenge, manzese, sinza na mwananyamala mademu wafupi kutoka moro wamejazana kwenye gesti uchwara wanauza ten shaw time.
Hivi ufupi umekuwa tatizo eeh?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom