Los santos
JF-Expert Member
- Jan 14, 2021
- 1,190
- 2,652
- Thread starter
- #201
Kama anajichubua basi aache ,huu ujumbe yyte atayesoma kama anajichubua ajue unamuhusu bila hata kumtagUnamsema dulla makabila kijanja
Kama anajichubua basi aache ,huu ujumbe yyte atayesoma kama anajichubua ajue unamuhusu bila hata kumtagUnamsema dulla makabila kijanja
Wakongo wengi ni tabia YaoWa kongo labda![]()
Alafu wanaona kawaida tu.Wakongo wengi ni tabia Yao
Sio wakongo hata wabongo wengi tu wanaume wanajichubua siku hizi. Watu wanapenda weupe behind the scene ila in public wanaupondaWa kongo labda😄
Iyo mishipa Kwa mtu ambaye havichubui Haina shida kbsa kwani ngozi yenyewe tu inakuwa inavutia, ila wanaojichubua ngozi tu inakuwa haivutii + harufu na kero nyinginezo ,kwaiyo Kwa case kama yako hatuna shida kbsa na wewMimi sijichubui ila mishipa ya kijani inaonekana
Utasikia black is beauty alafu baada ya kupotezana mwaka mmoja miwili mtu kawa mzungu tayar....Sio wakongo hata wabongo wengi tu wanaume wanajichubua siku hizi. Watu wanapenda weupe behind the scene ila in public wanauponda
Hapo sasaSio wakongo hata wabongo wengi tu wanaume wanajichubua siku hizi. Watu wanapenda weupe behind the scene ila in public wanauponda



🤣🤣🤣 hiyo issue ya kuupondea weupe imekaa kinafki sana .Sio wakongo hata wabongo wengi tu wanaume wanajichubua siku hizi. Watu wanapenda weupe behind the scene ila in public wanauponda
Waambie mburukenge hao.Wadada na wamama & baadhi ya wanaume wa kibongo acheni kujichubua mnakuwa mnatisha sana na hamvutii, unakuta mtu kajichubua Hadi mishipa ya kijani inajitokeza mwilini
Najua Kila mtu ana uhuru wa kufanya jambo analopenda lakini kama tunapinga rushwa,ujambazi ,ushoga basi na kujichubua inabidi ikemewe haraka
Kuna tukio Moja mdada alipendwa na jamaa mmoja kutoka Sweden yule mdada miezi sita waliyoachana na jamaa alitumia kujichubua jamaa anarudi miezi 9 mbeleni anakuta mwanamke kajichubua & alimuacha hapo hapo na matusi juu .
Nimefika udugu nipe samaree 😂😂😂
Kujichubua ndo wanaita skin care siku hizi.
🤣🤣🤣 harufu ya chuma teena..!!unakuta binti kawa karatasi unaona michirizi ya kijani
wacha nikumege siri wanawake wanaojichubua wanakua na harufu kama ya chuma kilichopata moto
Wanaume waongo jamani 🤣🤣🤣Sasa wale weusi tii ndio watamu kuliko asali!
Trust us 😜😜😜
Azama walianza onesha ligi,angalia tu wanawake wa dar nyusi zilivyoharibika kwa kujichubua,huu ujinga ulipotea 2010-15,sijui nani kaurudisha kwa Kasi hiviBila picha?
Waambie mburukenge hao.

Hapa mnaponda mikorogo, halafu mki log out mnawapigia simu wauza mikorogo wawaletee..!!! Mnaojichubua mchubue na matraako jamni, mdada sura imeshine kibinda nyuma cheusi tii km tumbili wale wanaoomba chakula mlima Kitonga



Kwanini akose wateja? 😃Lakini, ukiwaangalia waliojichubua,hasa wale wasio na uwezo wa kuendelea na mkologo, au wale waliozeeka, unaonaga ni sawa?! Japo ni maamzi ya mtu.
Niliwahi waona Mwanza wanaojiuza, dahhh! Unajiuliza,huyu kweli nae anapataga wateja!
Mashoga nijuavyo,kwa wanawake ni kuzamisha tuuuu,kwa sababu akiweka kinapenya,lakini si hobby yao. Af pia,mashoga siyo wanaume. Ni watoto wenye uume tu.Kwanini akose wateja? 😃
Baadhi ya wanaume hulala na kila kitu, kama mtu analala na shoga sembuse KE aliyejichuna kama Amber Ruti?