mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,269
- 71,932
sasa unakuta mdada ana chunusi kama fenesi halafu anataka ku-'glow' kupata sijui 'glass skin'
bora nimezaliwa me aisee
sasa unakuta mdada ana chunusi kama fenesi halafu anataka ku-'glow' kupata sijui 'glass skin'
Hawajui tu ngozi kukaa vizuri ni lishe bora , maji ya kutosha na mazoezi inatosha,kidogo na mafuta ya kujikinga na baridi kali na mionzi mikali ya jua kwisha.sasa unakuta mdada ana chunusi kama fenesi halafu anataka ku-'glow' kupata sijui 'glass skin'
bora nimezaliwa me aisee
Nakazia😃Bila picha?
Yupo vizuri sana , wahuni huwa tunajificha humu no foleni😜😜sasa hili giza sibora lijichubue chubue kidogo lionekane
si ndo hapo mkuu🤣Hawajui tu ngozi kukaa vizuri ni lishe bora , maji ya kutosha na mazoezi inatosha,kidogo na mafuta ya kujikinga na baridi kali na mionzi mikali ya jua kwisha.
Hii nayo point... Utakuta mtu anataka ang'ae Kwa 20k unadhani ataacha kubabuka😂😂Wanunulieni wanawake zenu vipodozi vya bei ghali wapendezeshe ngozi zao, acheni kuwasimanga
UmesikikaWanunulieni wanawake zenu vipodozi vya bei ghali wapendezeshe ngozi zao, acheni kuwasimanga
KUJICHUA AU KUJICHUBUA!!
AU MI NDO CJAELEWA![]()

kujichubuaDaa aisee umeuaUnakuta usoni mweupe kwenye vidole Kama mcheza karate.
Wanaojichubua wengi uwezo wao kufikiri ni mdogo.
😃😃😃😂🧐Na unakuta mwingine ana mume wake kabisa, huwa najiuliza huyo mume yupo hapo kama pambo au niaje?
Hivi Nani kawadanganya kuwa ukiwa n mweupe wa kuchovya unakuwa mzuri? Mwanaume usijaribu kuowa mwanamke anaye jichubuwa, utakuja kujuta.sasa unakuta mdada ana chunusi kama fenesi halafu anataka ku-'glow' kupata sijui 'glass skin'
bora nimezaliwa me aisee
aise mbona unasema ukweli mtupu kuhusu iyo harufu 🤣unakuta binti kawa karatasi unaona michirizi ya kijani
wacha nikumege siri wanawake wanaojichubua wanakua na harufu kama ya chuma kilichopata moto
marahaba vipi halisijambo shikamoo babu
Ila siku hiz lile wimbi la wadada kujichubua mtu anabaki kama ndizi choma limepungua , siku hizi wanapaka mikorogo ya ghali kidgo , labda uswazi sna wale wa Dira kuchomekewa kwa vyupi.si ndo hapo mkuu🤣
ke wanapenda chipsi halafu wanataka ngozi nyororo, hawajui hivyo vitu haviendani
unashindia chipsi chunusi zikuache?🤣
salama tu sijui wewemarahaba vipi hali