mtzedi
JF-Expert Member
- Dec 13, 2011
- 6,140
- 6,356
Ndo yenyewe
Ndo yenyewe
Ni kinyaa sana acha tuHuyo hata kumlala sitaweza, yaani ngozi tofauti kila mahali, harufu za ajabu aagr⁸!
Uko sahihi kbsaHao wanawake wanaojichubua hawajiamini.
Na hao wanaume sisi tunasema watoto si rizki.
Wadada na wamama & baadhi ya wanaume wa kibongo acheni kujichubua mnakuwa mnatisha sana na hamvutii, unakuta mtu kajichubua Hadi mishipa ya kijani inajitokeza mwilini
Najua Kila mtu ana uhuru wa kufanya jambo analopenda lakini kama tunapinga rushwa,ujambazi ,ushoga basi na kujichubua inabidi ikemewe haraka
Kuna tukio Moja mdada alipendwa na jamaa mmoja kutoka Sweden yule mdada miezi sita waliyoachana na jamaa alitumia kujichubua jamaa anarudi miezi 9 mbeleni anakuta mwanamke kajichubua & alimuacha hapo hapo na matusi juu .
Yes inabidi wabadilike aisee , ukweli huu tunaambiana sisi Waafrika kwanzaMmejua kutunyamba, japo mie sijajichubua.
Lakini, ukiwaangalia waliojichubua,hasa wale wasio na uwezo wa kuendelea na mkologo, au wale waliozeeka, unaonaga si sawa?! Japo ni maamzi ya mtu.
Niliwahi waona Mwanza wanaojiuza, dahhh! Unajiuliza,huyu kweli nae anapataga wateja!


daa Shukrani Kwa kukubali ukweli , manake ukweli unamuweka mtu hurukwa hili lakujichubua tusemeni tu mko sahihi
Kwa kwehi!!!Yes inabidi wabadilike aisee , ukweli huu tunaambiana sisi Waafrika kwanza
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Hakunaga hamu aisee yangu ilinywea ndani huko naye Alishahisi kbsa nimechukizwa na kujichubua kwake ,manake ngozi ilikuwa imesinyaa na mishipa ya kijani + kiharufu na jua hili la DSM ,kwakweli kilichonifanya nimle ni ugumu wa kukaa miezi 6 porini nikiwa jeshini so ule ugumu ndo nikamvamia lakini bado nikachemkaHivi kuna kua na hamu kweli na mtu aliyejichubua?
Nusu nitapike aisesHawako sawa.
Ila kiukweli kutoka moyoni, mkorogo si mzuri, kabisa.
Shida inakuja, unamfuma mwanaume wako anadate na mwanamke aliyejichubua, nawe unadhani huenda weusi wako ndio kikwazo cha mwanaume wako kwenda kutafuta mwanamke nje, nawe unaanza kujikoroga...kumbe unajiharibu
Wanaume ndio wanasababisha baadhi ya wanawake waendelee kujichubua.
Mimi binafsi, nina rafiki zangu wengi tu wamejichubua tena ile ki kweli kweli, huwezi amini:-
1. Wanatoa harufu, si kwenye ngozi zao tu, mpaka sehemu za siri, kwa sababu cream zina kila aina ya kemikali, incase katembea mwendo mrefu, au kakaa sehemu yenye joto lile jasho la ndani ya mapaja likikutana na mkorogo tu, harufu tayari huku kwenye mbususu.
2. Chunguza vyumba/maghetto mengi wanayoishi wanawake wale waliopitilza mkorogo, kuna kaharufu fulani huwa haka kapo automatically, huwa hakaishi vyumbani mwao huwa sijajua kwanini.
Hii naionaga kwa hao rafiki zangu.
3. Wakienda kujisaidia aidha haja ndogo au kubwa, wakishachamba ni lazima wajikaushe, wakijiacha na vimajimaji hata kidogo tu, lazima atoe harufu maana cream wanapaka mpaka huko kwa bibi, na hasa umkute ana makalio makubwa...utajuta.
Ila ndo hivo, wanakwambia Natural iachie misitu.
Weupe ndo kila kitu....
Inonga wa Simba ananiangusha sana aisee ,ananikera ila uzuri majukumu yake anatimiza vizuri ,Kwa Africa nchi walizotawaliwa na ufaransa wanapenda sana kujichubuaUsisahau wanaume
....halafu ukute amebandika kucha 😁😁😁
Umepiga Amba Kati Chembe Kidevu, Bhalaa Kubwa


Hapo kuchamba tu inakuwa shida....halafu ukute amebandika kucha![]()
😄😀....halafu ukute amebandika kucha 😁😁😁
Ila wanaume mnavumilia vingi sana.
Shida sio elimu, shida ni jamii inayomzunguka na kukataa kuitwa mshamba na jamii hiyoInabidi wanawake weusi waelimishwe kua wao ni wazuri, wanavutia na ni watamu sanaa.
1. Wanaume mnawasingizia. Wanajidanganyaga kuwa,wakijichubua ndo watakuwa wazuli na kupendwa. Kumbe siku hizi hata kuwatumia tu,hawana ushawishi. Waache wajichubue watajuta. Ila kiukweli hata kukaa nae hapana,hata kudate ti hapana,achilia mbali kuvuta kitu.Hawako sawa.
Ila kiukweli kutoka moyoni, mkorogo si mzuri, kabisa.
Shida inakuja, unamfuma mwanaume wako anadate na mwanamke aliyejichubua, nawe unadhani huenda weusi wako ndio kikwazo cha mwanaume wako kwenda kutafuta mwanamke nje, nawe unaanza kujikoroga...kumbe unajiharibu
Wanaume ndio wanasababisha baadhi ya wanawake waendelee kujichubua.
Mimi binafsi, nina rafiki zangu wengi tu wamejichubua tena ile ki kweli kweli, huwezi amini:-
1. Wanatoa harufu, si kwenye ngozi zao tu, mpaka sehemu za siri, kwa sababu cream zina kila aina ya kemikali, incase katembea mwendo mrefu, au kakaa sehemu yenye joto lile jasho la ndani ya mapaja likikutana na mkorogo tu, harufu tayari huku kwenye mbususu.
2. Chunguza vyumba/maghetto mengi wanayoishi wanawake wale waliopitilza mkorogo, kuna kaharufu fulani huwa haka kapo automatically, huwa hakaishi vyumbani mwao huwa sijajua kwanini.
Hii naionaga kwa hao rafiki zangu.
3. Wakienda kujisaidia aidha haja ndogo au kubwa, wakishachamba ni lazima wajikaushe, wakijiacha na vimajimaji hata kidogo tu, lazima atoe harufu maana cream wanapaka mpaka huko kwa bibi, na hasa umkute ana makalio makubwa...utajuta.
Ila ndo hivo, wanakwambia Natural iachie misitu.🌲🌳🌴🌳🌲
Weupe ndo kila kitu....